How can I check my luck by date of birth?

mimi kistobe

Member
Nov 25, 2023
99
277
Kwema wakuu

Hali ya maisha imekuwa ngumu, imenibidi niingie google chapu kuangalia namba yangu ya bahati labda ntatoboa

Ila nilichokutana nacho nimepagawa nikasema nije nililete kwenu wakuu hamjawahi kushindwa, angalia hapo chini walivyofafanua namna ya kupata namba yako ya bahati kupitia siku ya kuzaliwa

To begin with, add the digits in your birth date until you get a single-digit number.

For example, if your birthday is January 28, 1992, you would add 1+2+8+1+9+9+2 to get 32. Then, you would add 3+2 to get 5. So, in this case, five would be your lucky number

Baada ya mimi kuingiza namba zangu na kuzijumlisha mzigo ukaja 49, sasa ukichukua 4+9=13

Hapo nikatetemeka kidogo nusu nilie maana hii namba nasikia ni hatari sana, hata matajiri hawaitaki kwenye hotel zao

Sasa mimi ntatoboa kweli kwa 13?
 
Kwema wakuu

Hali ya maisha imekuwa ngumu, imenibidi niingie google chapu kuangalia namba yangu ya bahati labda ntatoboa

Ila nilichokutana nacho nimepagawa nikasema nije nililete kwenu wakuu hamjawahi kushindwa, angalia hapo chini walivyofafanua namna ya kupata namba yako ya bahati kupitia siku ya kuzaliwa

To begin with, add the digits in your birth date until you get a single-digit number.

For example, if your birthday is January 28, 1992, you would add 1+2+8+1+9+9+2 to get 32. Then, you would add 3+2 to get 5. So, in this case, five would be your lucky number

Baada ya mimi kuingiza namba zangu na kuzijumlisha mzigo ukaja 49, sasa ukichukua 4+9=13

Hapo nikatetemeka kidogo nusu nilie maana hii namba nasikia ni hatari sana, hata matajiri hawaitaki kwenye hotel zao

Sasa mimi ntatoboa kweli kwa 13?
Si wamesema 'until you get single digital, sasa hiyo 13 ni single? Hapo jumlisha 1 na 3 ili upate single
 
Numerologist wanaita life path number!

Mfano mimi ni life path number 4 baada ya kujumlisha tarehe yangu ya kuzaliwa mwezi na mwaka nikapata 40, therefore 4+0= 4

Life path number 4 ndio namba yangu ya bahati according to numerologist na sifa + madhaifu yake yanaendana na mimi kabisa

Ila wanasema life path number 8 ndo baba lao very powerful na ina some sorts of richness
 
Numerologist wanaita life path number!

Mfano mimi ni life path number 4 baada ya kujumlisha tarehe yangu ya kuzaliwa mwezi na mwaka nikapata 40, therefore 4+0= 4

Life path number 4 ndio namba yangu ya bahati according to numerologist na sifa + madhaifu yake yanaendana na mimi kabisa

Ila wanasema life path number 8 ndo baba lao very powerful na ina some sorts of richness
HAya
 
Kwema wakuu

Hali ya maisha imekuwa ngumu, imenibidi niingie google chapu kuangalia namba yangu ya bahati labda ntatoboa

Ila nilichokutana nacho nimepagawa nikasema nije nililete kwenu wakuu hamjawahi kushindwa, angalia hapo chini walivyofafanua namna ya kupata namba yako ya bahati kupitia siku ya kuzaliwa

To begin with, add the digits in your birth date until you get a single-digit number.

For example, if your birthday is January 28, 1992, you would add 1+2+8+1+9+9+2 to get 32. Then, you would add 3+2 to get 5. So, in this case, five would be your lucky number

Baada ya mimi kuingiza namba zangu na kuzijumlisha mzigo ukaja 49, sasa ukichukua 4+9=13

Hapo nikatetemeka kidogo nusu nilie maana hii namba nasikia ni hatari sana, hata matajiri hawaitaki kwenye hotel zao

Sasa mimi ntatoboa kweli kwa 13?
Inatakiwa isivuke 12, you have to add, 1+3=4.
4,inasimama kwenye vita, moto, N. K, in short ili upate upigane haswa,njia yako nyepesi imelalia kwenye vyombo vya moto, magari N. K.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom