joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,981
Wakuu naomba muongozo juu ya hilo na mimi nijaribu kama nyie
sasa nuksi na mikosi sio kwa wote
Wale wanaoaminsasa nuksi na mikosi sio kwa wote
hizi ni imani tu mkuusasa nuksi na mikosi sio kwa wote
Uko sahihi kabisa asilima 99.9%Life path number 1 inatupa watu wa karimu, wenye kupenda kuona mafanikio ya wengine, wepesi kusaidia wengine
Madhaifu:
Watu wakali sana/aggressive
Hupenda matambo boastfulness
sureWale wanaoamin
hizi ni imani tu mkuu
Life path number 1 inatupa watu wa karimu, wenye kupenda kuona mafanikio ya wengine, wepesi kusaidia wenginemkuu mimi nime imekuja 10 jika 1+0 ikaja 1
ehee nipe madini
Nimesoma nitafatilia hizo tarehe nione maajabu yake.....Ndio zipitie kwa umakini ziweke kwenye note-book anza kuziishi utanishukuru
Maisha ni number hapa hakuna uganga na mafanikio yapo huku
Kwa mfano mimi najua siku zangu mbaya na siku zangu nzuri.
Kuna mshikaji wangu nilishamwambia mimi siku fulani ni mbaya kwangu akawa anapuuzia na kudharau
Ila sasa hivi amenyoosha mikono na amekubali kweli ninayajua maisha yangu, maana kila nikitoka nae hiyo siku lazima tupate majanga
Sodiac sign yao ni ipi,tulinganisheUko sahihi kabisa asilima 99.9%
Vizuri sana mkuu, mimi ni mfano mzuri wa kwenye haya maswala ya number!Uko sahihi kabisa asilima 99.9%
Kwa upande wangu sina jibu kwa hili swali, labda kwa wataalamu wa number watapita hapa watakusaidiaWhat happen ikiwa huna huakika ulizaliwa trh ngp lakini unhtji kujua life path yako.
Kwanini mkuu? Yana uhalisia na maisha yakoNimetoka kufuatilia huko google... Haya mambo yanafikilisha sana
Ndio... Uhalisia upo, ila nashindwa kuelewa Hawa watu waliwezaje kung'amua haya?Kwanini mkuu? Yana uhalisia na maisha yako
Niko hapaLife path number 9 inatupa watu wenye kujitambua na wenye bidii sana ambapo hupata mafanikio makubwa kiuchumi.
It is even si powerful same to number 8
Madhaifu:
Ni watu wadhaifu kuachia mambo yaende-Trouble letting go
Wapo emotional sana
Naomba msaada nilizaliwa tarehe 27/01Vizuri sana mkuu, mimi ni mfano mzuri wa kwenye haya maswala ya number!
Yaani najua vitu vingi sana kupitia namba yangu hata pia tarehe ya kuzaliwa
Mama yangu na rafiki zangu nilikuwa nikiwashirikisha kuhusu siku zangu nzuri na mbaya au rangi walipuuzia sana na kutoamini
Ila leo hii wamekubali na wanaiona kama mchawi, kumbe ni shauku ya kusoma na kutamani kujitambua
Mkuu vipi kuhusu namba 5.Kwa upande wangu sina jibu kwa hili swali, labda kwa wataalamu wa number watapita hapa watakusaidia
Ukarimu na hupenda kujisimamia wao wenyewe, hujiamini kwamba wao wapo sahihi, na huwa sahihi kweli, hawa ni viongozi.Namba 1 inasimama kwenye nini
Mult career, hawa wanapenda kusafiri, na kudeliver matokeo au kushtuza Jamii juu ya matokeo chanya waliyoyapata. Travel lovers!Mm ni namba 5 naomba muongozo wakuu.
Hajamaliza bado maana inatakiwa digit moja 13 achukue 1+3=4Namba 13 mbaya sana aisee