Hotuba za Rais kila mwezi

Je unaridhika na hotuba za Rais Kikwete?

  • Ndio

    Votes: 13 15.5%
  • Hapana

    Votes: 71 84.5%
  • SIJUI

    Votes: 0 0.0%
  • Sina jinsi

    Votes: 1 1.2%

  • Total voters
    84
  • Poll closed .
Nitoe duku duku kwenye swala moja. Rais anasema tuiachie Wizara ya Mambo ya Nje na serikali kuamua tujiunge na OIC au hapana. Yaani tusitoe maoni yetu.

Sasa wanataka kutumia maoni ya nani kama si haya tunayotoa sisi Watanzania? Serikali inatakiwa kufanya maamuzi yake kutokana na maoni ya Watanzania. Wakati mwingine inabidi hata kuunda kamati ya kukusanya maoni hayo.

Ni UTAFITI kuhusu nini anafanya Ndugu Membe? Si alishatoa maoni yake? Kwa nini Rais anataka tukae kimya?

OIC ni (Organisation of Islamic Countries) Umoja wa Nchi za Kiislamu. Sisi sio nchi ya Kiislamu. Hata kama kuna nchi ambazo sii za Kiislamu zilizoamua kujiunga na OIC, si sawa kusema na sisi tujiunge. Two wrongs do not make a right.

Kama nilivyosema siku za nyuma, ni maoni yangu kwamba JK ameamua siku nyingi kuiingiza Tanzania OIC. Sasa anatafuta tu njia za kufanya hivyo. Kusema tusilizungumzie hilo swala tuiache serikali ni mbinu mpya, lakini ni mbinu ya ajabu!

Augustine Moshi
 
Nitoe duku duku kwenye swala moja. Rais anasema tuiachie Wizara ya Mambo ya Nje na serikali kuamua tujiunge na OIC au hapana. Yaani tusitoe maoni yetu.

Sasa wanataka kutumia maoni ya nani kama si haya tunayotoa sisi Watanzania? Serikali inatakiwa kufanya maamuzi yake kutokana na maoni ya Watanzania. Wakati mwingine inabidi hata kuunda kamati ya kukusanya maoni hayo.

Ni UTAFITI kuhusu nini anafanya Ndugu Membe? Si alishatoa maoni yake? Kwa nini Rais anataka tukae kimya?

OIC ni (Organisation of Islamic Countries) Umoja wa Nchi za Kiislamu. Sisi sio nchi ya Kiislamu. Hata kama kuna nchi ambazo sii za Kiislamu zilizoamua kujiunga na OIC, si sawa kusema na sisi tujiunge. Two wrongs do not make a right.

Kama nilivyosema siku za nyuma, ni maoni yangu kwamba JK ameamua siku nyingi kuiingiza Tanzania OIC. Sasa anatafuta tu njia za kufanya hivyo. Kusema tusilizungumzie hilo swala tuiache serikali ni mbinu mpya, lakini ni mbinu ya ajabu!

Augustine Moshi


Kwa mara nyingine tena ni kama anasema zanzibar na bara tuvunje muungano, kama swala hili ni wazanzibar wanataka basi wapewe nchi yao, oic wjiunge, mahakama ya kadhi waanzishe, wale waislamu wote wa bara nao waende visiwani!

Kikwete msanii, na hajui swala dogo la OIC linaweza kumgharimu hata nafasi yake

NO-OIC -NO-SHARIA COURTS
 
Walikuja Mafisadi, na Mtandao wao Ikulu, walidhania muda bado, wa kuja kutubu baba.

Kilio eeh kilio ooh, Kilio eeh kilio ooh, Kilio eeh kilio mnamlilia nani ? x2

Ee Baba wasamehe, walomchagua Kikwete, walidhania muda bado, wa kubadilisha mwongozo!

Kilio eeh kilio ooh, Kilio eeh kilio ooh, Kilio eeh kilio mnamlilia nani? x2

....i can imagine this catching up. kila anapoenda watu badala ya kucheer or jeer, basi wanaimba tu huo wimbo!! Now that would some precedence.... lol
 
Next time huko anakohutubia ni kumpelekea wakulu wa Chunya, maana wao at least they know better nini cha kumfanyia rais anapokua kama huyu,

I mean huko Chunya enzi za maneno maneno na wanasiasa, walishazipita siku nyingi siku hizi wako kwenye karne nyingine kabisaa, yaani mwanasiasa anapokuwa kama huyu wao huzungumza kwa mawe tu!

Kuna siku tutawakumbuka sana Chunya, maana huko hata nafasi ya kumsikiliza hawakuwa nayo, kwani walijua atasema nini, kwa hiyo dawa ilikuwa kutomsikiliza kabisa.
 
Mkuu wa kaya anasema OIC si deal,isiwanyime usingizi,....,wazenj ndio chanzo cha OIC,wanaulizia kila siku,kulikoni,....anaendelea mjadala wa OIC chini ya viongozi wa nje unalenga kudumisha MUUNGANO....mmmmmhhh

Nikuulize JK,bila MUUNGANO sie WATANGANYIKA hatulali usingizi?kwani kila watakalo wazenj lazima lifanyike?gharama zake tubebe wote?Kumbuka mzenj kiongozi alimtukana waziri mkuu wetu kwa kusema hawajibiki kwake,anawajibika kwa rais wa zenj...wawajibike basi na OIC yao,vunjeni muungano basi...kwani shida?hauvunjiki????!!!....kwanini hili ulipe nafasi?hatuna haki ya kusema nawe una hamu nalo?wazee EAC wanakufa na njaa unadeal na OIC???hahahahah

Ikiwa uko hapo kwa maslahi ya wazenj,sie wakristo tunataka MUUUNGANO ufe,soon,then utupe kipande chetu nasi yuwe na Tz yetu....Au?ingiza mjadala huu kwa wizara husika,kama ulivoingiza wa OIC.

,,,,,Acha UBINAFSI ndugu,bara huko kuna waislam wengi kuliko SIE WAKRISTO,sijui kama unalijua hilo,kumbuka huyu ni raisi wa MUUNGANO,na ishu hii inamsumbua na amesema ndo chanzo cha hili gogoro lisio kwisha katika MUUNGANO wetu huu,huenda ikawa amesha jua JAWABU lake,lakini kwa kua kesha ona SIE WAKRISTO tuna jazba nalo saaana kwa sasa,lazima alilie timing,na huu ndo uungwana wenyewe,acha kuchafua hali ya hewa hapa,haya matumaini negative aliotuacha nayo muungwana yanatosha.
 
Next time huko anakohutubia ni kumpelekea wakulu wa Chunya, maana wao at least they know better nini cha kumfanyia rais anapokua kama huyu,

I mean huko Chunya enzi za maneno maneno na wanasiasa, walishazipita siku nyingi siku hizi wako kwenye karne nyingine kabisaa, yaani mwanasiasa anapokuwa kama huyu wao huzungumza kwa mawe tu!

Kuna siku tutawakumbuka sana Chunya, maana huko hata nafasi ya kumsikiliza hawakuwa nayo, kwani walijua atasema nini, kwa hiyo dawa ilikuwa kutomsikiliza kabisa.

Mkulu nakubaliana na wewe! JK ana shida na anahitaji msaada he can not even get back to basics, angewin majority cheaply kwa kutaja walorudisha EPA na account zao na kuwasaliti kuwapeleka mahakamani. Binafsi simfagilii kwasababu najua ni kilaza hawezi table issue hata ndogo na mimi. I am sorry is my predsident anyway...2010 should go...

Ushi wa Rombo
 
Wacheni masihara jamani! Atawatajaje wakati sehemu muhimu ya fedha walizochota walitumia kwa ajili ya uchaguzi wake? Mnadhani mafedha lukuki yaliyotumika kwenye kampeni za CCM yalitoka wapi?

Hatawataja, na wala hazijarudishwa fedha. Ni changa la machoni tu.
 
Wakwele jamani ndivyo walivyo wajinga wajinga na mizaha mingi si mumemuone Kikwete?
 
Mimi ninachoona hapa Kikwete anatajaribu kuvuta muda ili uamuzi wa OIC asiufanye katika kipindi hiki. Kama Membe alishatoa taarifa za uchunguzi walioufanya iweje yeye aseme haujakamilika. Kikwete amesha kubali kuwa yeye ni OTP - One Term President. Na anajua kuwa hata akiwachukuliwa hatua mafisadi yeye hatarudi madakani. Na atakapo kuwa nje ya uraisi ni mafisadi pekee watakao msaidia maana ndo rafiki zake. Hivyo basi kwa namna yoyote ile ni lazima awakumbatie. Wasiwasi wangu ni kwamba kwa sababu anajua harudi tena, sasa ni wakati wake wa kuchuma. sijui kama ataacha kitu hazina.
 
WanaJF;

Habari ndo hii ya Kikwete. Please mwenye yale matamko ya Ben Membe kuhusu IOC aweke hapa plz mana naona sasa Bw Membe analeta uchochozi vile
 
Kikwete, ili kupata nafasi ya kuwa mgombea wa CCM alitoa rushwa kubwa sana tena za pesa za kigeni kwa wajumbe wote waliostahili kupiga kura ya kumchagua mgombea wa CCM. Pesa hizo zilitoka kwa mafisadi mbali mbali wakiwemo wahusika wakuu wa EPA akina Manji, Subhash Patel, Jeetu na wengine wengi. Sasa kama akiamua kulala nao mbele wanaweza kabisa na wao kumwanika kwa kutoa ripoti ya mapesa yote waliyompa wakati wa kugombea nafasi ya kuwa mgombea Urais toka CCM. Hili litakuwa ni mwisho wa Urais wake maana Watanzania hatutasubiri 2010 bali kutakuwa na shinikizo kubwa la kumtaka ajiuzulu.

Kikwete ameamua kuweka maslahi yake binafsi na ya marafiki zake waliombeba hadi akaingia Ikulu. Rais kama huyu hatufai kabisa Watanzania angekuwa na mapenzi ya kweli na Tanzania angeamua kujiuzulu ili ainusuru nchi.

Babu hapo umeongea. Wa TZ tufanye kweli huyo mtu asirudi 2010. Alitumia hela nyingi kuhonga ili apate urais,tuombe hizo hela zisipatikane tena kwa jina la Mungu.
 
Ina maana hawana deadline ya huo mchakato wanaofanya kuhusu OIC?.....This is very strange statement from the President. It shows like he doesn't have authority and commading power.

He doesn't even know the Ministry of Foreign Affairs is part of (his own)Government; but he still goes on saying: Tuicahie Wizara Ya mambo ya nje... itoe maoni yake halafu i-advise government! Government to advise government? Or Our government is State house without this ministry? Advise should come from independent instutions, people or else from the parliament!
 
He doesn't even know the Ministry of Foreign Affairs is part of (his own)Government; but he still goes on saying: Tuicahie Wizara Ya mambo ya nje... itoe maoni yake halafu i-advise government! Government to advise government? Or Our government is State house without this ministry? Advise should come from independent instutions, people or else from the parliament!

IO.. wewe unaposhangaa basi ni kubwa zaidi...
 
Halafu mimi nashangaa sana uchumi wetu wa ndani wengi hawaujui halafu eti unazungumzia uchumi wa ulimwengu...what for? Je huu wandani umeeleweka?

unajua huwa inatia kichefuchefu sana....nafikiri huyu mkuu wa nchi anahitaji semina elekezi.
 
Jamani sometimes JK tunamwonea bure, some issues hausiki. Hivi ni nani kati yetu humu JF asiyejua kuwa hela za EPA "zilichukuliwa" ("hazikuibiwa") na CCM kwa ajili ya kampeni? Kagoda et al ni channels tu za "kuchukulia" (Maana ilihitaji Balali awe kichaa kwanza ili ziibiwe the way zilivyochukuliwa).

Kama hii ni sahihi, kwa nini tumlaumu JK kwa kutochukua hatua? Yaani tunategemea JK achukue hatua dhidi ya CCM na dhidi yake mwenyewe? Hakuna hapa hata mmoja anayeweza kujishitaki na kujifunga mwenyewe!

JK is just doing "what everybody expected" sasa kwani kumlaumu? May be badala ya kumlaumu JK, tuangalie tufanye nini sisi kama watanzania kuinusuru nchi yetu...
 
Jamani sometimes JK tunamwonea bure, some issues hausiki. Hivi ni nani kati yetu humu JF asiyejua kuwa hela za EPA "zilichukuliwa" ("hazikuibiwa") na CCM kwa ajili ya kampeni? Kagoda et al ni channels tu za "kuchukulia" (Maana ilihitaji Balali awe kichaa kwanza ili ziibiwe the way zilivyochukuliwa).

Kama hii ni sahihi, kwa nini tumlaumu JK kwa kutochukua hatua? Yaani tunategemea JK achukue hatua dhidi ya CCM na dhidi yake mwenyewe? Hakuna hapa hata mmoja anayeweza kujishitaki na kujifunga mwenyewe!

JK is just doing "what everybody expected" sasa kwani kumlaumu? May be badala ya kumlaumu JK, tuangalie tufanye nini sisi kama watanzania kuinusuru nchi yetu...

...aliye influence kuibiwa pesa BOT sio ccm bali ni MTANDAWO.....KINA ..kikwete,lowassa,rostam..jeetu et al....hata baadhi ya wana ccm walikuwa hawajuwi mapesa yanatoka wapi..zaidi aliyekuwa na siri ni mweka hazina mama mbatia na rostam....,kikwete,lowassa...na connies wao..
 
Back
Top Bottom