Hotuba za Rais kila mwezi

Hotuba za Rais kila mwezi

Je unaridhika na hotuba za Rais Kikwete?

  • Ndio

    Votes: 13 15.5%
  • Hapana

    Votes: 71 84.5%
  • SIJUI

    Votes: 0 0.0%
  • Sina jinsi

    Votes: 1 1.2%

  • Total voters
    84
  • Poll closed .
Tatizo ni kuwa JK ndiyo mtu pekee anayeweza kusema niliiba na asishitakiwe lakini akawafunga wenzake wote!
 
,,,,,Acha UBINAFSI ndugu,bara huko kuna waislam wengi kuliko SIE WAKRISTO,sijui kama unalijua hilo,kumbuka huyu ni raisi wa MUUNGANO,.


....rais mjinga kuliko wote.....marehemu mwanawasa pamoja na kupata ajali,kiharusi ...etc..alikuwa smart kuliko huyu ........kibaki pamoja na ile ajali ambayo nearly costed his life ..yupo better.....

..king zech acha conspiracy......waislamu population yao ipo dense kwenye miji ya pwani ..na along the slave route to kigoma...na wala hakuna sensa inayosema idadi tusianze ku guess nani ni nani.....OIC na KADHI...ondokeni na huyu mjinga mpeleke zenj......kwani somalia ,algeria et al wapi kuna waislamu wengi by ratio...OIC imeshawasaidia nini?
 
Hotuba ilikuwa nzuri tu. Labda kama kuna "Rais kivuli" miongoni mwetu atuandikie angeyazungumziaje haya alooyaongea Rais wetu.
 

....rais mjinga kuliko wote.....marehemu mwanawasa pamoja na kupata ajali,kiharusi ...etc..alikuwa smart kuliko huyu ........kibaki pamoja na ile ajali ambayo nearly costed his life ..yupo better.....

..king zech acha conspiracy......waislamu population yao ipo dense kwenye miji ya pwani ..na along the slave route to kigoma...na wala hakuna sensa inayosema idadi tusianze ku guess nani ni nani.....OIC na KADHI...ondokeni na huyu mjinga mpeleke zenj......kwani somalia ,algeria et al wapi kuna waislamu wengi by ratio...OIC imeshawasaidia nini?

Kaka una jazba na chuki kweli.... sasa JK apelekwe Zenj ndio kwao? au waislam hawana haki ya kuishi "bara" tuwaondoe wote na kuwapeleka Zenj.

Ungeweza kuelezea tena vizuri tu hoja yako ya kupinga OIC bila ya kuonyesha chuki zako za wazi kwa waislam
 
aka una jazba na chuki kweli.... sasa JK apelekwe Zenj ndio kwao? au waislam hawana haki ya kuishi "bara" tuwaondoe wote na kuwapeleka Zenj.

Ungeweza kuelezea tena vizuri tu hoja yako ya kupinga OIC bila ya kuonyesha chuki zako za wazi kwa waislam

Mkuu wacha chuki zako za binafsi against PM, yeye alikuwa anajibu hoja ya huyo ndugu, maana hata wewe ungeweza kujibu bila kuonyesha chuki zako kwa PM, au?

Naona kwa muda sasa unamshambulia sana mkulu PM, badala ya kujadili ishu ya OIC vipi kuna nini weka hapa wazi tujue bro?
 
Mkuu wacha chuki zako za binafsi against PM, yeye alikuwa anajibu hoja ya huyo ndugu, maana hata wewe ungeweza kujibu bila kuonyesha chuki zako kwa PM, au?

Naona kwa muda sasa unamshambulia sana mkulu PM, badala ya kujadili ishu ya OIC vipi kuna nini weka hapa wazi tujue bro?

Mkuu acha chuki zako binafsi na Masatu, nilikuwa namjibu PM hoja yake inajenga chuki na hata wewe ungeweza kujibu bila kuonyesha chuki kwa Masatu ndio maana ya kuwa na public forum.

Weka ushahidi kuwa "kwa muda sasa namshambulia sana mkulu PM"
 
Kaka una jazba na chuki kweli.... sasa JK apelekwe Zenj ndio kwao? au waislam hawana haki ya kuishi "bara" tuwaondoe wote na kuwapeleka Zenj.

Mkuu acha chuki zako binafsi na Masatu, nilikuwa namjibu PM hoja yake inajenga chuki na hata wewe ungeweza kujibu bila kuonyesha chuki kwa Masatu ndio maana ya kuwa na public forum.

Weka ushahidi kuwa "kwa muda sasa namshambulia sana mkulu PM"

Hapana wewe ni ndugu yangu naheshimu sana objectivity zako, lakini hebu mpe nafasi mkulu PM naye awe member kama wengine, ni hayo tu! na tuendelee kukata ishus. Chuki na wewe sina you know that, lakini punguza jazba bro! Okay sasa ni saaa ya kwenda kujenga taifa later!
 
naomba muheshimiwa rais sasa utuwakilishe watanzania kwenye Big Brother pale kwa madiba,hii kazi ya kutuongoza imekuwa mzigo kwako.
 
Katika hotuba yake hakuna jipya. Watanzania uamuzi mnao wenyewe, kura yenu au la malalamiko yataendelea, wakati wenzenu wanalala usingizi.

Jamani hata kama ametaka kutuzugazuga, mbona mikakati yake ya kufanya hivyo mibaya? OIC Membe aseme nini wakati keshasema tusiwe waoga? Ina maana hata uamuzi wake utokanao na huo utafiti utakuwa biased. Inaonyesha kuwa coordination katika nchi ni zero, rais nanasema hiki, waziri kingine.

Ona jana waziri anamjibu mbunge kuwa suala la unyongaji wa waliohukumiwa kunyongwa, akasema mjadala unaendelea juu ya hilo na wanaharakati wa haki za binadamu wakati rais about 2 wks ago alishasema hilo suala halina mjadala. Nashindwa kabisa kuelewa uwezo wao wa kupambanua mambo na ku coordinate issues.

Mimi nimechoka jamani, huu uswahili umepitiliza. Kazi kwenu wa TZ. Kulalamika hakutawasaidia.
 
Swala la EPA wakuu mbona JK katunyamazisha kimtindo?
Au ameogopa yeye kujitaja?
Hapo naona sasa ndo mwisho wake sasa mpira unarudishwa kwa vyama vya upinzani kuuchezea mpaka 2010 watakapo mnyima usingizi JK.
 
...Hakika nawaambia, wakinyamaza hawa hata mawe yatapiga kelele...

Mkuu kwa nini asijishushe amwombe Dr.Slaa amsaidie kwa more data?
Ametumia polisi wetu njaa tupu akirushiwa milioni 5 basi ushahidi wote unapotea kama ulivyo sikia hawajapata inform. za makapuni 9.
 
Asante Mh. Rais kwa kufafanua kinagaubaga suala la OIC.
Kweli wewe ni Chaguo la Mungu.
Mungu azidi kukubariki na kukuneemesha.
 
Kuna habari kuwa Marekani na Urusi na Afrika ya Kusini wamepeleka maombi ya kujiunga na OIC.Nina uhakika watakubaliwa na kwa sababu Bwana Mkubwa(USA) atakuwa memba na sisi hapo tutajikuta poa.Timming hiyo ndiyo anayosubiri JK.Wale wanaopiga makelele watakuwa wamepigwa na butwaa na kabla hawajakaa sawa tutakuwa tayari tumepata maslahi ya kiuchumi yanayoambatana na uanachama wetu katika OIC.
 
Yaani JK yuko tayari chama kife shauri ya mafisadi? Hii ni dalili anajua hizo pesa zilichotgwa kwa amri yake.

Haiingii kichwani kwamba pamoja na ushahidi wote, lawama toka kila upande, bado ameshindwa kuwachukulia hatua hawa majambazi.
 
Mkuu kwa nini asijishushe amwombe Dr.Slaa amsaidie kwa more data?
Ametumia polisi wetu njaa tupu akirushiwa milioni 5 basi ushahidi wote unapotea kama ulivyo sikia hawajapata inform. za makapuni 9.

Kwani unadhani hana data? Ernst& Young walifanya kazi gani?
Tatizo hapa lipo kwenye uwezekano wa mtu kujikata mkono wako mwenyewe... hilo haliwezekani
 
Jamani sometimes JK tunamwonea bure, some issues hausiki. Hivi ni nani kati yetu humu JF asiyejua kuwa hela za EPA "zilichukuliwa" ("hazikuibiwa") na CCM kwa ajili ya kampeni? Kagoda et al ni channels tu za "kuchukulia" (Maana ilihitaji Balali awe kichaa kwanza ili ziibiwe the way zilivyochukuliwa).

Kama hii ni sahihi, kwa nini tumlaumu JK kwa kutochukua hatua? Yaani tunategemea JK achukue hatua dhidi ya CCM na dhidi yake mwenyewe? Hakuna hapa hata mmoja anayeweza kujishitaki na kujifunga mwenyewe!

JK is just doing "what everybody expected" sasa kwani kumlaumu? May be badala ya kumlaumu JK, tuangalie tufanye nini sisi kama watanzania kuinusuru nchi yetu...

Kampeni ya CCM kumuweka JK ikulu 2005 iligharimu around 8bn(watu wa Marketing Voda, Celtel, TBL wanaweza kuidadavua hii), na hata Ben alipowapa jamaa green light alitarajia watu watachukua max 10bn, matokeo yake watu wamelamba 133bn.... NET profit 125bn kwa kazi yao...ONLY in BONGO.
 
Kaka una jazba na chuki kweli.... sasa JK apelekwe Zenj ndio kwao? au waislam hawana haki ya kuishi "bara" tuwaondoe wote na kuwapeleka Zenj.

Ungeweza kuelezea tena vizuri tu hoja yako ya kupinga OIC bila ya kuonyesha chuki zako za wazi kwa waislam

Mwache huyo Kijiba cha roho atakufa nacho. yeye hataki hata kuona-Bismi-llahi-rahmani-rahim--- anatucheksha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haiko hivyo. Hivi miaka 44 ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yetu hafahamu hivyo. Mimi mbona najisikia vyema unapoanza kitu na kusema -KWA JINA LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU.......
 
Mwache huyo Kijiba cha roho atakufa nacho. yeye hataki hata kuona-Bismi-llahi-rahmani-rahim--- anatucheksha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haiko hivyo. Hivi miaka 44 ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yetu hafahamu hivyo. Mimi mbona najisikia vyema unapoanza kitu na kusema -KWA JINA LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU.......


.....acha vijijembe kaka..mimi nina heshima sana na dini zote ikiwemo wapagani...lakini sipendi tabia inayojitokeza ya BAADHI ya waumini wa upande wowote kufikia kufikiri wao wanastahili zaidi attention kuliko wengine...i like the way we are now ..taifa liendelee kuwa neutral..imani ibaki kwa watu binafsi.....sasa tukitaka dini iwe wakristo au waislamu wafanyiwe jambo ambalo litataka recognition in constitution ..tutajenga tag of war bila sababu.....NA MIGOGORO YA KIDINI NDUGU ZANGU HUWA HAINA MSHINDI....NI JAMBO LA KUEPUKA...

...........KILA MTU AENDELEE KUABUDU ANAVYOONA ..TUSITAKE KULIBATIZA AU KULISILIMISHA TAIFA LOTE.....
 
Back
Top Bottom