Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,609
- 1,731
Waungwana,
According to Ernst & Youn's report the total amount that was stolen from EPA is shiling 133 billion: The revelations followed the audit conducted over EPA by a foreign financial consultant firm, Ernst and Young.
The firm revealed that in 2005/06, payments to the tune of 133,015,186,220.74/- were made to 22 domestic companies under the EPA scheme. .Kikwete is talking about shilling 90 Billion only. What happened to the rest of the amount totalling to shilling 43 billion?
Mbona hamutaki kumwelewa Rahisi? JK amesema hivi: Bilioni 90 ndio zilichukuliwa na yale makampuni ambayo uchunguzi wake umekamilika maana data zao zinapatikana kwa urahisi injini. Hao ndio wameombwa kwa heshima na taadhima warudishe fweza kufikia jana ili wasikatwe na sheria ni msumeno. Na wamesharudisha takribani asilimia 76 ambayo ni Daraja A ama Festi Klasi. Hivyo vijisenti vilivyobakia vilichukuliwa na yale makampuni ambayo uchunguzi wake ni mgumu kupindukia kwa kuwa data zake wanazo wenzetu huko ughaibuni hivyo tunategemea usamaria wema wao ndio tuzipate. Bado kina Mwema wanawabembeleza watupe data hivyo UCHUNGUZI UNAENDELEA! Au unadhani hii ni JUST KIDDING?