Kwako JJ Mnyika, K. Zitto, Dr W.Slaa.
Napendekeza muunganishe nguvu, pamoja na kituo cha haki za binaadamu, asasi nyingine za kiraia na vyuo vya elimu ya juu. Then muorganize maandamano makubwa kwa kumobilize wananchi woote wenye ndugu, jamaa au marafiki wanaoozea jela kwa wizi wa aina mbalimbali through thousands of fliers, na matangazo ya kwenye magari kushinikiza na wao wapewe fair treatment ya kurudisha walivyoiba kama mafisadi.
Im quite sure you will mobilise a sizeable mass na kusend the message AGAIN!... JK ni
wa kumkomalia mpaka aelewe kwa kuona matendo. Kumsusia nchi na kuyaacha mambo kama yalivyo tutakua hatuwatendei haki watoto wetu na vizazi vyetu vijavyo.
Ikifanyika Dar, i guarantee to be there....Just give me the date.
Ni wazo tu.