Hotuba ya Rais Samia yenye tabasamu kwa watanzania iliyo beba kiza cha maendeleo ya nnchi

size 96

Senior Member
Aug 31, 2019
135
144
Nampongeza mama kwa hotuba nzuri yenye kuleta tabasamu kwa maisha ya watanzania kwani hotuba yake imejaa maneno ya faraja kwenye maisha ya watanzania hasa sisi wa kipato cha chini mama kagusa sehemu muhimu na nyeti kaona kua sisi wananchi wachini hatuna hela mama kaaidi kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji ukusanyaji wa kodi nafikiri watajitathmini nakuacha makadirio yasiyo rafiki kwetu napo fikiri yote ayo najawa natabasamu nafuraha lakini napo jiuliza vizuri naona kiza kikubwa kimetanda kwatanzania ijayo
Mama kazungumzia mazingira mazuri ya wawekezaji naona kabisa kua tunarudi turiko toka mana wawekezaji awa awa ndo walio kua wanafanya tafiti miaka mitano na kujinufaisha wa badala ya hapo hawalipi stahiki kwa nnchi yetu wanabadilisha majina ya kampuni nakuanza tafiti upya mfano mzuri ni AIRTEL walianza na celltel miaka mitano kupita wakabadili jina na kuwa zain mbaka kufikia kujiita AIRTEL iyo yote ilikua ni kukwepa kulipa stahiki za nnchi leo tunataka turudi uko uko tena

Mama kawazungumzi barrick ni kweli ni wawekezaji wa muda sana apa kwetu leo hii mama anataka awafutie baadhi ya kodi akati ni wanyonyaji wa muda mrefu sana toka kutulipa asilimia tatu ya kile wanacho kizalisha tena wao ndo wanasema wamezalisha dhahabu kiasi gani adi kufikia umiliki wa hamsini kwa hamsini leo hii wanafutiwa kodi inauma sana naakati haya ndo mambo waliyo kuwa wanayapigia kelele wakina zito kabwe na tundu lisu leo ii mama anaongea kiujasiri na kuturudisha kulekule watanzania tunafurai

Mama kwenye wawekezaji kasema kua kama muwekezaji anataka kuja na watu wake aje nao tu adi naumia wasomi wetu wataenda wapi ukiangalia population ya china si wataanzisha makampuni apa ajira ziwe zao tu watanzania tutabaki kufagia ofisi tu

Naona nnchi inarudi nyuma tena mama anaongea kwa ujasiri tutayumba kwa miezi michache ila tutakua sawa napata shaka miradi yote ya kimkakati itatimia kwa muda kweli watanzania hapa tunaona wenye mapenzi mema na nnchi na wasio na mapenzi mema na nnchi kunamengi ya kujifunza kupitia kifo cha dr magufuri
Naona lile genge la wauza madawa ya kulevya likiongozwa na mtoto wa raisi wa awamu ya nne linarudi tena
Naona uuzwaji wa pembe za ndovu unarudi tena ukiongozwa na kinana na makamba
Naona kutokulipwa kwa kodi kunarudi tena awa ni kina rostam azizi naona ukungu kwenye ajira mbaka uwe na ndugu kwenye mfumo ndo unapata kazi naiona Tanzania isiyo na mbele bali inarudi nyuma naona mabeberu na vibaraka wao wanaigawana nnchi tena

Tuiombee tanzania yetu #Rip magufuli
Mtakuja kutoa sababu za wizi wa bashiru kama nikweli kwanini asipigwe chini na kushtakiwa
 
Waonye maana bavicha wamejipa kazi ya MATAGA
FB_IMG_1617728213402.jpg
 
Mzee umeandika hili bandiko kwa Mwanga wa kibatari au una hasira zako kuna sehemu umeguswa, hembu rudiia tena kujisoma uone ulichoandika.
Nimetumia mshumaa ila unaweza ukapata tupointi kidogo umo
 
Bila shaka haya mahusiano siyo ya kutuhubiria Tanzania ni masikini na kwamba bila wafadhiri hamna tunachoweza.
Akiyasema haya hatutamwelewa

KPI tuliyoachiwa inasema Tanzania ni tajiri tunachotakiwa ni kujitambua tu
 
Kitu nimenote mama alikuwa anamlamba kisogo hayati. Tulipiga hatua kumi mbele sasa tutarudi hatua hamsini nyumba .

Mwisho wa ubaya ni aibu,lengo lake ni kumprove wrong hayati mwisho wa siku jumba bovu litamwangukia.

Tegemea mapato ya serikali kudorora,mianya ya rushwa kuongezeka.Sasa hivi Afisa wa TRA haangaiki na ww atakwambia mpe chake usepe zako.

Issu ya Barick ilishasettle vilibaki vitu vichche tu yeye analiibua la nn.

Analalmika watu kuongezeka ngororo ,binadamu kila siku wanazaliana "Popularion is not Static"

Then Unaruhusu vp watu wachimbe madini kwenye hifadhi?. Tunasafari ndefu sana.
 
Unamaliza darasa la 7 lini?
Sababu it appears level yako ya uelewa ipo huko.

Hao watu wake wa Bandari wameanza kukwapua lini na kwa nn hawajashtakiwa ?
Unafikiri wizi wa Mererani umeanza juzi ?

Wacha mama atibu vidonda kwanza halaf mengine yatafuata.
Watu wamepigika sana huku kila senti imepelekwa Chato, kijijini na hata watu hakuna... !!
Ndo uzalendo huo huku wachache tu wananufaika
 
Kuna mengi ya kujifunza kwenye stori yako mkuu nakupongeza kwa ilo
 
Kitu nimenote mama alikuwa anamlamba kisogo hayati. Tulipiga hatua kumi mbele sasa tutarudi hatua hamsini nyumba .

Mwisho wa ubaya ni aibu,lengo lake ni kumprove wrong hayati mwisho wa siku jumba bovu litamwangukia.

Tegemea mapato ya serikali kudorora,mianya ya rushwa kuongezeka.Sasa hivi Afisa wa TRA haangaiki na ww atakwambia mpe chake usepe zako.

Issu ya Barick ilishasettle vilibaki vitu vichche tu yeye analiibua la nn.

Analalmika watu kuongezeka ngororo ,binadamu kila siku wanazaliana "Popularion is not Static"

Then Unaruhusu vp watu wachimbe madini kwenye hifadhi?. Tunasafari ndefu sana.
Mkuu tutatumia muda mrefu kufika tunapo dhamilia kama taifa tutaona mengi sana
 
Unamaliza darasa la 7 lini?
Sababu it appears level yako ya uelewa ipo huko.

Hao watu wake wa Bandari wameanza kukwapua lini na kwa nn hawajashtakiwa ?
Unafikiri wizi wa Mererani umeanza juzi ?

Wacha mama atibu vidonda kwanza halaf mengine yatafuata.
Watu wamepigika sana huku kila senti imepelekwa Chato, kijijini na hata watu hakuna... !!
Ndo uzalendo huo huku wachache tu wananufaika
Sawa mkuu ngoja mama atunufaishe wote
 
Back
Top Bottom