Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,327
- 9,748
Ndugu zangu Watanzania,
Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.
Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.
Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,Hafla mbalimbali huko Duniani.
Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona na kumsikiliza Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa akizungumza maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni Gumzo kubwa mitandaoni huko kenya.yatarajiwa kazi zote kwenda kusimama huko kenya pale Rais samia atakapokuwa anatoa hotuba yake,watu wasubiri kwa hamu sana hotuba yake utafikiri ujio wa Rais mstaafu Barack Hussein Obama mwaka 2015.
Hii ni kutokana na sifa kubwa sana ya kiuongozi na uchapa kazi wake aliouonyesha Tangia aingie madarakani mwaka 2021, wakenya na Waafrika wengi sana wanatamani na kuvutiwa sana na maono ya Rais samia,wengine mpaka wamefikia hatua kutamani angezaliwa katika nchi zao. Wanamuona kwa sasa kama Mama Afrika,Mtetezi wa Afrika,Nuru ya wanyonge na mlinzi wa Rasilimali za Afrika.
Rais samia anaonekana kwa sasa ndio Tumaini na nguzo ya utulivu katika nchi za ukanda huu wa maziwa makuu,anaonekana ndio mtu na kiongozi anayeweza kusuluhisha migogoro na akasikilizwa na viongozi wote katika ukanda wetu kutokana na utulivu wake, uadilifu wake,maono yake,uzoefu wake ,ukomavu wake kidiplomasia na weledi wake wa hali ya juu katika utatuzi wa migogoro ya aina yoyote ile. Wanajuwa kuwa ni Rais aliyeiva na kukomaa kiuongozi kutokana na kushika nafasi mbalimbali na kuiwakilisha nchi yetu katika mikutano, makongamano,semina ,Hafla mbalimbali huko Duniani.
Ni bahati ya kipekee sana ambayo wakenya wameipata kupata fursa ya kumuona na kumsikiliza Rais samia na kumsikia akitoa hotuba mbele yao.kwa hakika itawabidi wachukue kalamu na notebook ili kuchukua dondoo za kile atakachokuwa akizungumza maana ni bahati ambayo hawawezi kuipoteza. Hata wao wanatamani kuishi kama sisi watanzania kwa amani , utulivu, mshikamano, upendo na umoja .wanatamani wawe kama sisi tulivyo Shikamana kama Taifa.ndio maana watamtizama Rais samia kwa jicho la kipekee sana katika kupata Busara na hekima zake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.