Hotuba ya Rais Magufuli haikuwa hotuba ya Mgombea Urais, ilikuwa Hotuba ya Mgombea Uwaziri wa Miundombinu. Imekosa mvuto mpaka mwisho

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Ama kweli Rias Magufuli ana kiburi.

Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate.

Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.

Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.

Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.

Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2

Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)

Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!

Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
 
Kwa akili zako finyu ulisikia wapi waziri anagombea .poor you


USSR
Hoja zake ndio zinaleta hitimisho alilisema muheshimiwa hapo juu.
Hajajikita kwenye ustawi wa jamii hata kidogo,amejikita kwenye materials( vitu visivyoongea), vitu ambavyo havina athari za moja kwa moja kwenye maisha ya wengi.

Je alitakiwa azungumzie nini??
1. Afya ya watu wake, atafanya nini kuboresha afya za watu kama kuongeza hospital na bajeti ya dawa.
2. Haki -atasimamia amani na haki hapa nchini, kwasababu awanu yake ya kwanza tumeshuduia uvunjifu mkubwa wa mifumo yote ya haki kama mahakama.
3. Elimu - ili nalo awamu yake ya kwanza alikuwa nyuma sana, amepunguza pesa za mikopo wa wanafunzi, hajafanya project yeyote ya maana kwenye elimu yetu akitathiminisha na awamu za nyuma zilizopita.
4. Ajira - na ili nalo ameliluka, sina cha kuongeza kwano wote munalifahamu ili.
5. Diplomasia - awamu hii kama munavyojua amegombana na kila jirani unayemjua wewe.
6.
7.
8.
Mutaongezea nyinyi
 
Kwanza jamaa hata kuongea hajui,anafikiri kwamba akitaja kwamba anaona ajenge uwanja mwingine wa Ndege msalato ili midege ipae mpaka ulaya!itawasaidia wanzengo,
Hayo madege yatabeba nini kupeleka ulaya?
Watu wanataka wasikie sukari,mchele,unga,utashuka lini bei iwe hata 1000 kwa kilo,na wakati huo huo,mkulima afaidike,ajenge nyumba,asomeshe watoto,
Ajira vp!??sasa hv vijana wanamaliza vyuo,hawapati ajira,Tabora,Lindi,Katavi Bado Kuna jamii maskini,yeye anatuletea hotuba za kuandikiwa na kusoma,Kama unayotakiwa kufanya na ambayo umefanya,unayajua,sasa kwanini utusomee,ongea kutokea moyoni kwa kufuata pointi,sio kutuletea upuuzi wa kusoma.
 
Kwanza jamaa hata kuongea hajui,anafikiri kwamba akitaja kwamba anaona ajenge uwanja mwingine wa Ndege msalato ili midege ipae mpaka ulaya!itawasaidia wanzengo,
Hayo madege yatabeba nini kupeleka ulaya?
Watu wanataka wasikie sukari,mchele,unga,utashuka lini bei iwe hata 1000 kwa kilo,na wakati huo huo,mkulima afaidike,ajenge nyumba,asomeshe watoto,
Ajira vp!??sasa hv vijana wanamaliza vyuo,hawapati ajira,Tabora,Lindi,Katavi Bado Kuna jamii maskini,yeye anatuletea hotuba za kuandikiwa na kusoma,Kama unayotakiwa kufanya na ambayo umefanya,unayajua,sasa kwanini utusomee,ongea kutokea moyoni kwa kufuata pointi,sio kutuletea upuuzi wa kusoma.
wakati umekaa nyuma ya keyboard unaandika kuhusu sukari, unga na mchele watu wanapanga namna ya kukuza uchumi kupitia kuboresha mazingira ya utafutaji ardhini, majini na angani.

haileti uhai kuwaza miaka yote utaishi kwa kushindwa kununua kilo moja ya sukari ya kutumia siku 5,mpaka uombe serikali kuipunguza bei.

ndio sababu mgombe wenu anazungumzia kuhusu bima ya afya kwa kila mtu, badala kujenga hospitali kila tarafa na kupunguza kabisa gharama za matibabu,yaani yeye pia mawazo yake juu ya kukua uchumi yamekufa.
 
Ama kweli Rias Magufuli ana kiburi.
Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate. Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.

Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.

Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.

Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2

Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)
Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!

Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
Hotuba ya ovyo kabisa
 
Kuzindua kampeni huwa ni Kuzindua Ilani, baada ya hapo, ni siasa, naona Chadema pia imefanya kuhutubia ilani kule Kawe hivyo hotuba ya Chadema ya kawe ilikuwa ya chama lakini kule mbagala ilikuwa ya Lisu.
 
Ama kweli Rias Magufuli ana kiburi.
Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate. Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.

Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.

Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.

Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2

Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)
Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!

Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
Hiyo hotuba ni kati ya hotuba chache bora kabisa hapa Afrika, yawezekana ni ya kwanza hotuba imejaa matumaini.
 
Wakati mwingine wafwasi wa Lissu oneni hata aibu kuongea vitu ambavyo hata Boss wenu anawaona machizi JPM alikuwa anaeleza kile alichofanya miaka 5 ambapo aliwekeza zaidi kwenye miundombinu na anaeleza atakachofanya miaka mingine 5
 
Ama kweli Rias Magufuli ana kiburi.
Haiingii akilini anakuja na mipango ambayo kwa namna moja ama nyingine, kwa kiongozi wa nchi ni mipango ya upande mmoja. Alishindwa kuweka mzani wa alipotoka na vitu vyake vs watu aliowaongoza ili ajue afanye nini. Kushindwa kufanya hivyo ni tafsiri kuwa yeye ndiye mpangaji na ni lazima watu wafuate. Kwanza hii tabia amekuwa nayo kwa miaka mitano iliyopita. Kinachonishangaza ni yeye kuonyesha waziwazi kuwa mwendo ni uleule kwa miaka mitano ama zaidi ijayo. Hii ni hatari sana hasa ukizingatia ishara ambazo zimeanza kujitokeza za kulazimisha ushindi.

Hotuba nzima ya Rias Magufuli imejikita katika kununua ndege na kuongeza kipande cha reli ya kisasa kutoka Dodoma hadi Isaka-Makutopora.

Tuwe wakweli, Rais alipora haki muhimu za wafanyakazi kwa miaka mitano iliyopita na kubebesha mzigo mzito wa kodi kwa watanzania masikini ili kugharamia miradi ambayo mingi ni kama analazimisha ikamilike ndani ya muda mfupi huku akijua athari zake. Kwa jana alipaswa japo kuongea jambo jipya kwa watanzania ambalo linagusa maisha yao moja kwa moja ili ajadiliwe vinywani mwao. Amefeli kabla ya safari ya kampeni.

Mradi wa SGR kwa hesabu zangu mpaka ufike Isaka itagharimu si chini ya trilioni 8. Kwa awamu ya miaka mitano iliyopita mradi umeelea elea tu vipande hadi Morogoro na amefanikiwa tu kulipa trilioni 1.2

Hali hii inanifanya niamini kuwa mabavu anayotumia Magufuli kwenye huu uchaguzi ni ili apate wabunge wote wa CCM na yeye ashinde ili mradi huu ambao nina uhakika ili ukamilike kutoka tarehe ha leo hautachukua chini ya miaka 8! (Ana mpango wa kuongeza muda? Ana mpango wa kupendekeza kodi kandamizi zaidi ili apate fedha?)
Hayo ni yenu watanzania ila kiukweli ukitoka kwako tarehe 28 kwa nia ya kumpigia Rais Magufuli kura basi ni sawa na mtu umetoka kwako na kamba kwa lengo la kuingia porini ili ukajinyonge ufe!

Sisi hapa leo tutaonekana tunapiga porojo ila kiukweli kwa mambo aliyofanya Magufuli basi ukimpigia jura ni aibu juu ha nafsi yako! Nyie sikilizeni wasanii na baadhi ya wafuasi wake ambao wamejitoa kumeza akili za watu ila mjue wanafanya hivyo kwa maslahi yao! Sisi tulimpinga Magufuli mwanzoni kabisa mwa utawala wake kwakuwa tunamjua vyema! Tunaijua akili yake!
Correct
 
Back
Top Bottom