Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
Tunasubiri kwa hamu update..
si kweli acha kudanganya umma....bado hajafika.....
Kwani red capeti kila sehemu lipo?vp mbona anatembea chini hakuna red capeti?
Hebu tupeni yajirio kwani wengine tupo nje ya makazi yetu.
KakaJambazi hivi kuna haja gani ya paredi hapo bungeni?
Mkuu naona taifa zima lipo dodoma bara mpaka visiwani.si mda rais ataanza kuhutubia bunge
no link online tkaangalia waungwana, kaa tusaidiane