LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
mie mwenyewe kwahili nampa big up jk hajataka kuwasikiliza mawaziri wake vilaza wanao mpotosha kila mara kiasi kwamba hadi raia wamekosa iman naye na laiti kama maamuzi yote angekuwa na busara kuamua bila kupelekeshwa na chama cha kijani naamini angekuwa rais bora sana lakini sasa majambazi ya ccm yanatumia upole wake kumpanda kichwan sasa imekuwa balaa tupu.aaaagh!!