Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Nchi ya Maneno.Watu Wa maneno. Maneno maneno kila raia maneno.. Mafundi kweli Wa maneno..

Kwani Maneno yanasaidia kuponya wagonjwa?. Watu wanakata roho huku ati, watu wanaotakiwa kufanyiwa operations hawajui hatma zao Na Hali zao zinazidi kudorora.. Hapa watu walioshiba ugali Na Kauzu wanapiga domo tu..

Sikilizeni enyi mbweha.. Hatutaki maneno tena, Kama mnaona madai ya madaktari ni chachu tupilieni mbali wao Na madai Yao kwenye dustbins.. Na muajiri madaktari wengine Na raia tuendelee kupata matibabu ..

Mambo ya maneno ni upuuzi .. Upuuzi mtupu, huyu namlipa sana, sijui yule kidogo, ah ni majungu tu yote hayo.. ilihali wananchi maskini ya mungu tusio Na hatia tunakwisha Kwa kukosa stahiki ya tiba..

Sina Shaka kesho wahandisi nao watalianzisha.. Mhandisi kuanza Na 420,000 Na baada ya makato anakwenda hom Na 320,000 aiseee.. Hata house-girl Wa hapa masaki wanamzidi kipato mhandisi.. Erb mpo au mnachangisha michango ya stickers tu..
 
Tatizo ni kupata habari au tatizo ni Michuzi's Blog?

Tatizo ni kwamba tuliambiwa atahutubia live kama kawaida, watu wamekesha wakikodelea macho Runinga zao na haikuwa hivyo! Asubuhi ndo tunaisoma Hotuba hiyo kwenye Michuzi's Blog!
 
[h=6]"Daktari anayeona kuwa hawezi kufanya kazi Serikalini bila ya kulipwa mshahara wa LAKI TISA U NUSU awe huru kuacha kazi na kwenda kwa muajiri anayeweza kumlipa kiasi hicho. Nasi tutamtakia kila la heri" - Jakaya Mrisho Kikwete.[/h]
 
[h=6]Huna sababu ya kugoma ili ashinikize kulipwa mshahara huo. Asisumbuke, hatalipwa mshahara huo. Isitoshe, hana sababu ya kuendelea kuwa na mgogoro na mwajiri ambaye hana uwezo wa kumlipa anachokitaka. Huna sababu ya kumpa usumbufu mwajiri wa kukuandikia barua ya kujieleza au kukuachisha kazi. Kwa nini upate usumbufu wa kupata barua hizo na kuzijibu. Kwa nini upate usumbufu wa kuachishwa kazi na kutakiwa kuondoka kwenye nyumba ya Serikali ndani ya saa 24. Jiepushe na yote hayo kwa kujiondoa mwenyewe. Usipofanya hivyo, mwajiri anakuwa hana jinsi bali kukuondoa kazini[/h]
 
[h=6]Mamlaka za ajira zimeanza kuchukua hatua za kuwafukuza na wataendelea kufanya hivyo kwa wote wanaoendelea kugoma. Najua baada ya hatua hizo kuchukuliwa kuna manun'guniko ya kuonewa. Hivyo, mlitegemea mwajiri afanyeje? Ni bora kufanya hivyo ili ajue hana daktari aweze kufanya utaratibu wa kuziba hilo pengo na huyo ajae awe na mahali pa kuishi. Vinginevyo atakuwa anajidanganya kuwa anae daktari ambae hayupo kazini na wala hataki kufanya kazi.[/h]
 
Mamlaka za ajira zimeanza kuchukua hatua za kuwafukuza na wataendelea kufanya hivyo kwa wote wanaoendelea kugoma. Najua baada ya hatua hizo kuchukuliwa kuna manun’guniko ya kuonewa. Hivyo, mlitegemea mwajiri afanyeje? Ni bora kufanya hivyo ili ajue hana daktari aweze kufanya utaratibu wa kuziba hilo pengo na huyo ajae awe na mahali pa kuishi. Vinginevyo atakuwa anajidanganya kuwa anae daktari ambae hayupo kazini na wala hataki kufanya kazi.
 
ninavyofahamu Dr ni mkit wa umoja wa madaktar ila nimeshangazwa na kauli ya Jk kuwa dr ulimboka hauhusiki na si mwajiriwa wa serikal . kutokuwa mwajiriwa kuna thibitisha kuwa wanachokitaka madaktar si mshahara tu maana wengne haitawahusu kwa vile wao serikal si mwajir wao bali wanagombania kuboreshwa kwa sekta ya afya . naomba kusadiwa na tuwekane sawa hasa wahusika wenyew

Umenena vema rafiki!Dr Ulimboka ni mwajiriwa wa NGO,siyo mwajiriwa wa serikali(JK hajakosea kwa hili).Kinachomsukuma Dr Ulimboka kusimamia madai ya madaktari ni kiu yake ya kuona huduma bora za afya ktk hospitali za umma na maisha bora kwa watumishi wa afya TZ.Hana maslahi yoyote ya moja kwa moja ktk harakati hizi,isipokuwa yale ambayo watanzania wote watayapata iwapo serikali itatekeleza wajibu wake(kutoa huduma bora za afya kwa wananchi wake).
 
Option makini, imetulia.
Haina makidai, makeke wala vitisho!
Doctor aamue mwenyewe cha kufanya.
Hawabebeki hawa watu.
 
Join June 2012, ndo umetumwa kuja kuelezea sera za Dhaifu ? Haya sasa subiri muumbuliwe na kontena la madawa sijui ile list aliyonayo miaka nenda rudi ataifanyia kazi lini, maana imejaa ndg, jamaa na marafiki !!
 
Kichwa cha hbr haijaenda sawa na post!

Nilitegemea kuona majina ya Madaktari ambao wangeacha kazi.
 
Kukimbia tatizo siyo njia ya kutatua tatizo.Serikali gani inakimbia kufanya negotiation na raia wake? Tunakubali kwamba nchi yetu ni masikini ni vigumu kuwalipa watumishi kama nchi zilizoendelea.

Tatizo la serikali ni UPUUZI, kama tetesi kwamba mtawaleta madokta 1000 toka Iran,kifupi ni kwamba mtakuwa mmeanzisha kabila jipya la wairan nchini kwetu unless ibakie kuwa tetesi. Tatizo lingine ni UONGO,serikali inawezaje kuwa na fedha za kukimbizia mwenge,ikakosa fedha za kuboresha mazingira ya kazi ya waalimu na madaktari? Mnapataje fedha kumsafirisha Lowassa na Kamati yake kwenda kwenye balozi za Tanzania nje na mkakosa fedha za kuongeza mishahara?

Mbona mawaziri hatuwasikii wakilia maisha magumu kutokana na kuwa na mshahara mnono,posho,madurufu,n.k Washauri wa Rais madudu matupu.Huwezi kufananisha mazingira ya kazi ya udaktari na watumishi wengine hivyo hata nyongeza ya mshahara ilitakiwa iwe zaidi ya watumishi wengine.
 
MDAU JR, Kwa hiyo ni sahihi kuwatoa kafara wagonjwa eti kwa sababu wabunge wanapewa mil10? Hakuna njia nyingine za kufanya hadi wagonjwa wafe? Kwani hizo pesa wanazofaidi wabunge ni za madaktari tu? Ni za wananchi wote. Itafutwe njia sahihi ya kukomesha mpango wa wachache kufaidi keki ya taifa wakati wengine wanaumia na si njia hii ya kuchezea roho za watu wasio na hatia. AMKA MDAU JR.

Nimeamka ck nyingi ndo maana nina ufahamu juu ya jambo hili, Mkuu njia ndo hiyo, hizo zingine unazosema zimeshindikana. Mgomo wa kada yoyote una athari, walimu wakigoma kunakuwa hakuna elimu, madereva wa mabasi nao kunakuwa hakuna safari, Daktari naye wagonjwa wanakufa hiyo ndo kada yake, we unataka agome kula? nani atamsikiliza.

Na hayo ndo malengo ya mgomo wowote ili haki husika inayodaiwa ipatikane. Huwezi kuwazuia kudai haki zao kwa kisingizio cha watu kufa halafu madai yao yanashughulikiwa kisiasa, eti tunaendelea na mazungumzo,mpaka lini? hadi kufikia watu wakaamua kugoma ni kwamba haya madai ni ya muda mrefu. Mliolala amkeni sasa msikubali kuwa foolled kila siku kuwa serk haina uwezo ili hali fedha zinalundikwa kwe akaunt za viongozi huko uswisi na kujinunulia makasri hapa nchini na nje ya nchi, vijana wetu wanasoma kwa shida vyuoni ili hali tuna rasilimali nyingi ambazo iwapo mikataba isingalifungwa ktk misingi ya rushwa na ubadhirifu yasingalitokea hayo.

Wakati umefika sasa Kila mmoja asimame pale alipo adai stahili yake(wakulima, wanafunzi,wafanyakazi) M/mungu atalipa juhudi InshaAllah. mamayeyo usiogope kufa, wacha siye tufie wodini, lakini watoto na wajukuu zetu wanufaike hapo baadae na mgao sawa wa raslimali za Taifa letu.Hakuna anaye sapoti mauaji lakini fahamu kwamba hakuna kudai haki kwa lelemama, ikifikia hatua hii ni lazima watu wafe ili kupata mapinduzi ya kweli na ufumbuzi wa kudumu wa suala husika(watu wangapi walikufa South Afrika wakati wa kupinga ubaguzi wa rangi? lakini leo ni historia na kamwe ubaguzi ule haurudi tena mpaka kiama I swear, lakini kwa kuwa watu waliamua kukataa bila kujali watu wangapi watakufa) .

Kwa kuwa watawala tulionao wamekwisha fahamu watu wlionao ni wa aina ya mamayeyo ndo maana wanatuburuza. Tubadilike sasa tuache uoga usio na msingi ambao ndo umetufikisha hapa tulipo, Wanasiasa wanatuona waTZ kuwa ni watu mabongolala tusiojuwa haki zetu, tuziondoe hizi mindset kwenye vichwa vyao.
 
huu upotoshaji wa mishahara kama kigezo cha kuficha ukwel. ndo maana watekaji wanadhan anatumika?
 
hivi nashindwa kabisa kuwashangaa wadanganyika wanaochangia mada hii na kujiumbua, hivi ni kweli kuna wengine zaidi ya JK wasiojua mpaka leo ni nani muajiri na muajiriwa kati ya yeye na wakina ulimboka na sisi? Jamani how can you be so empty? mnaomdanganya chukueni hayo malip haraka maana soon ukweli utakuja kuonekana na sio kujulikana tena.

Huyu bwana ni kibarua wetu, kama hajawahi kuambiwa na wakina omba omba na atambue sasa, hili swala la madaktari ndio Tahriri yake, jamani hapa nimekuja kutamka sio kutabiri, huyu jamaa ni bai bai yake hopeless kabisa eti waondoke kama hawataki, yeye nani atake? he lives enzi za madictator wasiokua na akili madikteta wa leo wanatutawala kwa technolojis, look at him sasa, he is an embarrassment look at him, yaani hajui kwamba anakula na kusaza na kusomesha watoto wake wasiokua na akili kwa hela za baba yake Ulimboka na baba za madaktari wengine wote anaowatukana na kuwadharau wakati yeye hakuwa na akili za kusomea udaktari wala sayansi tunaambiwa ni mchumi, my foot, wachumi wakina Lipumba wameonyesha uwezo wao
 
Nchi ya Maneno.Watu Wa maneno. Maneno maneno kila raia maneno.. Mafundi kweli Wa maneno..

Kwani Maneno yanasaidia kuponya wagonjwa?. Watu wanakata roho huku ati, watu wanaotakiwa kufanyiwa operations hawajui hatma zao Na Hali zao zinazidi kudorora.. Hapa watu walioshiba ugali Na Kauzu wanapiga domo tu..

Sikilizeni enyi mbweha.. Hatutaki maneno tena, Kama mnaona madai ya madaktari ni chachu tupilieni mbali wao Na madai Yao kwenye dustbins.. Na muajiri madaktari wengine Na raia tuendelee kupata matibabu ..

Mambo ya maneno ni upuuzi .. Upuuzi mtupu, huyu namlipa sana, sijui yule kidogo, ah ni majungu tu yote hayo.. ilihali wananchi maskini ya mungu tusio Na hatia tunakwisha Kwa kukosa stahiki ya tiba..

Sina Shaka kesho wahandisi nao watalianzisha.. Mhandisi kuanza Na 420,000 Na baada ya makato anakwenda hom Na 320,000 aiseee.. Hata house-girl Wa hapa masaki wanamzidi kipato mhandisi.. Erb mpo au mnachangisha michango ya stickers tu..

Wahandisi mnakula 10% kutoka kwa makandarasi sorry ni 20% siku hizi, hamna shida ya mishahara hata kama msipolipwa kabisa, kwa hiyo usitegemee mgomo kutokea kwa wahandisi.
 
hivi nashindwa kabisa kuwashangaa wadanganyika wanaochangia mada hii na kujiumbua, hivi ni kweli kuna wengine zaidi ya JK wasiojua mpaka leo ni nani muajiri na muajiriwa kati ya yeye na wakina ulimboka na sisi? Jamani how can you be so empty? mnaomdanganya chukueni hayo malip haraka maana soon ukweli utakuja kuonekana na sio kujulikana tena. Huyu bwana ni kibarua wetu, kama hajawahi kuambiwa na wakina omba omba na atambue sasa, hili swala la madaktari ndio Tahriri yake,jamani hapa nimekuja kutamka sio kutabiri, huyu jamaa ni bai bai yake hopeless kabisa eti waondoke kama hawataki, yeye nani atake? he lives enzi za madictator wasiokua na akili madikteta wa leo wanatutawala kwa technolojis, look at him sasa, he is an embarrassment look at him, yaani hajui kwamba anakula na kusaza na kusomesha watoto wake wasiokua na akili kwa hela za baba yake Ulimboka na baba za madaktari wengine wote anaowatukana na kuwadharau wakati yeye hakuwa na akili za kusomea udaktari wala sayansi tunaambiwa ni mchumi, my foot, wachumi wakina Lipumba wameonyesha uwezo wao

Tahrir utaenda na nani wewe?

Tumeanza kufuatilia deal zote za madaktari Tanzania kwa ufupi

a. Hawafanyi kazi masaa yanayotakiwa katika hospitali ya taifa muda mwingi wako katika hospitali binafsi wanavuta kati ya tsh 300,000-1,000,000/- kwa siku huku wananchi maskini wakiwapa foleni na kuwapangaia tarehe bila sababu afadhali tuajiri wageni ambaye atafanya kazi full time na wagonjwa wetu watatibiwa

b. Wanatumia vifaa vya serikali (hospitali ya serikali) kufanya diagnosis ya wagonjwa kutoka kwenye hospitali na dispensary zao bila kuilipa Muhumbili chochte, hivyo kufichakaza vifaa vya hospitali, kuongeza foleni kwa wagonjwa muhimbili kupata majibu yao vipimo vyao..tabia chafu na morally inaapropriate..

c. Viongozi wa vitengo (wakuu wa idara) ambao ni madrs kuuza vifaa na spea za goverment hospital facilities kwa private hospital hivyo serikali kuishia kuwa na hasara ya kununua kila mwaka, ...

Bado mengi yataibuka..bado saana..issue yao
 
Katika Hotuba yake JK amekiri kuwa Serikali ni mmoja wa watuhumiwa wa watekaji nyara na watesaji wa Dr. Ulimboka. Nadhani kwa hilo yupo sahihi kabisa. Pia amesema akiwa kama Rais wa Nchi ameagiza vyombo vya usalama kufanya uchunguzi na kutoka na majibu haraka iwezekanavyo ili kuweza kuwapa wananchi ukweli wa nini kilitokea. Hilo nalo nakubaliana naye kuwa ni jambo sahihi.

Baada ya hapo akatumia muda mwingi kujitetea yeye mwenyewe, serikali yake na vyombo vya dola.

Sasa ninapata wasi wasi kama uchunguzi wa vyombo vya dola utakuwa huru na wa haki. Maana tayari katika hotuba ya Rais ya leo, Rais ameshavikataza vyombo vya dola visiichunguze serikali, pia ameshavikataza vyombo hivyo kumchunguza yeye kama anahusika kwa namna moja am nyingine kupitia utetezi alioutoa katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi.

Nadhani kama Rais angekuwa na nia ya dhati na kama angetaka kuwa mkweli asingesema lolote kuhusu kuhusika au kutohusika kwa serikali na vyombo vyake na hata yeye mwenyewe ili vyombo vinavyohusika na uchunguzi vifanye kazi yake vikiwa huru na bila influence ya maneno yake ya ukali kuwa hajahusika na wala serikali yake na vyombo vyake haijahusika.

Mpaka hapo sina imani na vyombo vya uchunguzi vya ndani ya nchi, kwani usalama wa Taifa wanawajibika kwake, polisi wanawajibika kwa Raisi. Na kwa Hotuba ya Leo naona kabisa karibpio, Katazo la Rais kwa vyombo vya uchunguzi na upelelezi kuichunguza serikali na watumishi wake akiwem Rais.
 
Anajuwa kinachoendelea huyu DHAIFU ndio maana amepiga mkwara wasiichunguze serikali wala yeye mwenyewe..Siku zinahesabika kaka yeye ni zaidi ya Ghadafi then tutaona ukweli
 
Back
Top Bottom