Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,487
- 913
Nchi ya Maneno.Watu Wa maneno. Maneno maneno kila raia maneno.. Mafundi kweli Wa maneno..
Kwani Maneno yanasaidia kuponya wagonjwa?. Watu wanakata roho huku ati, watu wanaotakiwa kufanyiwa operations hawajui hatma zao Na Hali zao zinazidi kudorora.. Hapa watu walioshiba ugali Na Kauzu wanapiga domo tu..
Sikilizeni enyi mbweha.. Hatutaki maneno tena, Kama mnaona madai ya madaktari ni chachu tupilieni mbali wao Na madai Yao kwenye dustbins.. Na muajiri madaktari wengine Na raia tuendelee kupata matibabu ..
Mambo ya maneno ni upuuzi .. Upuuzi mtupu, huyu namlipa sana, sijui yule kidogo, ah ni majungu tu yote hayo.. ilihali wananchi maskini ya mungu tusio Na hatia tunakwisha Kwa kukosa stahiki ya tiba..
Sina Shaka kesho wahandisi nao watalianzisha.. Mhandisi kuanza Na 420,000 Na baada ya makato anakwenda hom Na 320,000 aiseee.. Hata house-girl Wa hapa masaki wanamzidi kipato mhandisi.. Erb mpo au mnachangisha michango ya stickers tu..
Kwani Maneno yanasaidia kuponya wagonjwa?. Watu wanakata roho huku ati, watu wanaotakiwa kufanyiwa operations hawajui hatma zao Na Hali zao zinazidi kudorora.. Hapa watu walioshiba ugali Na Kauzu wanapiga domo tu..
Sikilizeni enyi mbweha.. Hatutaki maneno tena, Kama mnaona madai ya madaktari ni chachu tupilieni mbali wao Na madai Yao kwenye dustbins.. Na muajiri madaktari wengine Na raia tuendelee kupata matibabu ..
Mambo ya maneno ni upuuzi .. Upuuzi mtupu, huyu namlipa sana, sijui yule kidogo, ah ni majungu tu yote hayo.. ilihali wananchi maskini ya mungu tusio Na hatia tunakwisha Kwa kukosa stahiki ya tiba..
Sina Shaka kesho wahandisi nao watalianzisha.. Mhandisi kuanza Na 420,000 Na baada ya makato anakwenda hom Na 320,000 aiseee.. Hata house-girl Wa hapa masaki wanamzidi kipato mhandisi.. Erb mpo au mnachangisha michango ya stickers tu..