antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,647
- 120,174
Unataka umbambikizie kesi ya uongo wewe taga?ila kuhusu usafi wa hela aweke akiba ya maneno.
Unataka umbambikizie kesi ya uongo wewe taga?ila kuhusu usafi wa hela aweke akiba ya maneno.
Msigwa yuko vyema kwenye kilimo cha nyanya tu mkuu.
Nilitaka kuulizia hivyo hivyo! Beatrice unatakiwa uwe tu muwazi kama jua liko machweo liko machweo tu! Hakuna namna utajirudisha ujana!Mkuu hueleweki,
Mwanzoni umesema wewe ni mzee,( sisi tulio uzeeni), baadae umesema unawaomba vijana wenzako mjitahidi!!!!!!!!!. Ila hoja yako iko vizuri.
Mponjoli Malakasuka.
Nimeamua tu kumbig up mpambanaji mwenzake.Amefanya nini tena? Kwani siku hihi yuko wapi?
Huyu mwamba namkumbkaMponjoli Malakasuka.
Sina uhakika mkuu.Huyu mwamba namkumbka
Alisomaga sangu kama skosei
Vp uk aliondoka
Ova
100% sio 70%70% ya hao watu wapo ndani ya chama cha mapinduzi