Hoteli ya Sugu iwafumbue macho vijana kuhusu nguvu ya uwekezaji

Makonda ana miradi gani halali? Huyo Hapi zaidi ya per diem na mshahara wa kila mwezi ana vyanzo gani vingine vya mapato?
Wewe una mradi gani halali au umekaa kuaangalia wenzako wamefanya nini....
 
Mshahara wa mbunge take home ni zaidi ya million 11, na anakopesheka kwenye taasisi za fedha.

Mbunge yeyote ubunge wake ukiisha akawa na maisha mabovu ni kichaa huyo.

Mzindakaya ana ranji kabisa na kachukuwa sana mikopo kwa bond ya BOT na mikopo isiyokuwa na riba.
Nakuelewa mkuu upo sahihi
 
Tatizo hadi Rais aseme wewe fanya biashara, asiposema vyombo yake vinakuvunjia, aibu sana hii!
Hilo hata mimi nimeliona, yani mkuu wa mkoa wakati ana adress swala la sugu alikua anaongea kwa confidence zote kumbe alikua tayari kashapewa maelekezo na mkubwa wake
 
Ni vigumu sana kujua the story behind any successful person,kwa kuwa mambo mengi maovu yanafanywa kwa siri kubwa.Hata hivyo nikuhakikishie kwamba there is a story behind Sugus' success,only that people do not know it.Nimefanyia utafiti most of the success stories of the richest families on the Planet including the Rothschild family, the Bruce family, the Kennedys, the Medici family, the House of Hanover, the House of Hapsburg, the Krupp family, the House of Plantagenet, the Rockefeller family, the House of Romanov, the Sinclair family, the Warburg family and the House of Windsor,
they are dirty stories behind their success.Kwa hiyo usijifariji kwamba all is well with Sugu.There is "most likely" a dirty side to his success,you just do not know it.
Kwahiyo mkuu ukishajua hilo, una kazi yani umekua ukifuatilia watu wamezipataje mali zao hata kama iwe halali au sio halili wewe pambana na njia halali ujipatie chako, ukiwa busy sana na maisha ya watu utayasahau maisha yako
 
Ni vigumu sana kujua the story behind any successful person,kwa kuwa mambo mengi maovu yanafanywa kwa siri kubwa.Hata hivyo nikuhakikishie kwamba there is a story behind Sugus' success,only that people do not know it.Nimefanyia utafiti most of the success stories of the richest families on the Planet including the Rothschild family, the Bruce family, the Kennedys, the Medici family, the House of Hanover, the House of Hapsburg, the Krupp family, the House of Plantagenet, the Rockefeller family, the House of Romanov, the Sinclair family, the Warburg family and the House of Windsor,
they are dirty stories behind their success.Kwa hiyo usijifariji kwamba all is well with Sugu.There is "most likely" a dirty side to his success,you just do not know it.
Pambana na life mzee acha mambo yako ya kujifanya muandishi wa stori za watu
 
Kusema Msigwa amebobea kwenye kilimo cha nyanya ni kumdharau?
Wewe una utindio wa ubongo nahisi

Nadhani sasa umepata kujua MTAZAMO wa VIJANA kuhusu KILIMO. Wanadharau kilimo, wanaona ukiwa unalima basi wewe hauko vizuri. Bali ukiwa na biashara nyingine kama madala dala au hotel/guest house, wewe uko vizuri. Badala ya kubishana, kama Taifa tunahitaji kuwa na namna bora ya kubadilisha mtazamo wa vijana. Waone kilimo kuwa ni fursa. Ni fursa iliyo wazi kama fursa nyingine. Waendelee kuifuatilia itawalipa.
 
Kwani kina shida gani?
Maana ni kama umeandika kimasimango flani hivi!
Kwa taarifa yako mimi binafsi nimewahi kufanya kilimo cha nyanya na mboga mboga, kipato nilichokuwa napata kwa msimu mmoja wa mavuno ni sawa na kununua coaster kama mbili hivi mpya na chenji ya bajaji kama tatu inabaki!
Ni vile tu kwa sasa, plan imebadilika ila nitaridi huko kwenye kilimo!
Refer hata Sumry huko analima maharage na mahindi!
Umesomeka mkuu,ina maana ulikuwa unapiga zaid ya mil 100.Hongera saana,vipi sasa mbona watu wengi wanasema kilimo ni kama kubahatisha ama pata potea? Wewe ulikuwa unatumia mbinu gani..
 
Pambana na life mzee acha mambo yako ya kujifanya muandishi wa stori za watu
Nimesema clearly kwamba watu wakubwa matajiri sana niliofanyia utafiti wana dirty stories.Tena very dirty,na sitabadili msimamo wangu,kwa kuwa ndio ukweli.Huwaoni akina Bill Gates,Anthony Fauci wanayofanya?These are clear examples.Wewe si unawaona wauza unga,watoa makafara mpaka watoto na baba zao,ni very clear,msikimbie ukweli.Si unaona yanayotokea Syria,Yemen nk.Yote hayo ni kutafuta utajiri.Utajiri is synonymous to evil,ndio maana hata neno la Mungu maeneo mengi limeongelea negatively about riches,mpaka kusema wazi kwamba ni vigumu tajiri kuurithi ufalme wa Mungu!Huo ndio ukweli,whether you like it or not.

Soma 1Tim.1:7-10;Yaj.1:9-10;Yak.5:1-9. Notice mstari wa sita,that is exactly what reach people do to poor people.Infact Mungu amesema wazi usitamani mali ya tajiri!
 
Nimesema clearly kwamba watu wakubwa matajiri sana niliofanyia utafiti wana dirty stories.Tena very dirty,na sitabadili msimamo wangu,kwa kuwa ndio ukweli.Huwaoni akina Bill Gates,Anthony Fauci wanayofanya?These are clear examples.Wewe si unawaona wauza unga,watoa makafara mpaka watoto na baba zao,ni very clear,msikimbie ukweli.Si unaona yanayotokea Syria,Yemen nk.Yote hayo ni kutafuta utajiri.Utajiri is synonymous to evil,ndio maana hata neno la Mungu maeneo mengi limeongelea negatively about riches,mpaka kusema wazi kwamba ni vigumu tajiri kuurithi ufalme wa Mungu.Huo ndio ukweli,whether you like it or not.
Sawa mkuu ila tuyaache hayo, cha msingi ni kutafuta pesa kwa jasho
 
Pambana na life mzee acha mambo yako ya kujifanya muandishi wa stori za watu
Niko kwenye mada,wala sijatoka nje.Najaribu tu kuonyesha kwamba sio kila king'aacho ni thahabu.Hata hivyo najua kwamba jambo hili ni taboo kwa watu wengi wa leo,hawataki kabisa liongelewe kwa kuwa wapo huko.
 
Sawa mkuu ila tuyaache hayo, cha msingi ni kutafuta pesa kwa jasho

Nimesema clearly kwamba watu wakubwa matajiri sana niliofanyia utafiti wana dirty stories.Tena very dirty,na sitabadili msimamo wangu,kwa kuwa ndio ukweli.Huwaoni akina Bill Gates,Anthony Fauci wanayofanya?These are clear examples.Wewe si unawaona wauza unga,watoa makafara mpaka watoto na baba zao,ni very clear,msikimbie ukweli.Si unaona yanayotokea Syria,Yemen nk.Yote hayo ni kutafuta utajiri.Utajiri is synonymous to evil,ndio maana hata neno la Mungu maeneo mengi limeongelea negatively about riches,mpaka kusema wazi kwamba ni vigumu tajiri kuurithi ufalme wa Mungu!Huo ndio ukweli,whether you like it or not.

Soma 1Tim.1:7-10;Yaj.1:9-10;Yak.5:1-9. Notice mstari wa sita,that is exactly what reach people do to poor people.Infact Mungu amesema wazi usitamani mali ya tajiri
 
Umesomeka mkuu,ina maana ulikuwa unapiga zaid ya mil 100.Hongera saana,vipi sasa mbona watu wengi wanasema kilimo ni kama kubahatisha ama pata potea? Wewe ulikuwa unatumia mbinu gani..

Mtu kusema kilimo ni pata potea ni kukosa ujuzi na maarifa ya kutosha!
Yaani mtu anataka aingie shambani, atifue udongo, atie mbengu asubirie mvua inyeshe, avune auze! Hapo ni kwa nini isiwe pata potea?
Mtu anayelima kwa mfano kilimo cha kisasa kwa kutumia green house kwenye mboga mboga huyo kilimo kwake itakuwaje pata potea?
Kuhusu mbinu za kutumia, mkuu inabidi uingie field, nikieleza hapa labda nianzishe uzi mwingine!
Bahati mbaya, me zaidi napendelea kuingia field, sometimes kile kinachoandikwa na uhalisia unaweza kuwa tofauti! Kuna vijana flani kipindi kimoja walitoka vyuo vya kilimo nikaingia nao kwenye field moja, yaani mimi ndio nilibaki kuwa muelekezaji wa kila jambo angali wao walikuwa ni graduate kabisa!
Tulikuwa tunaamka saa tisa ya usiku kwa ajili ya kuua viwavi ambavyo vilikuwa vinakula mimea, jamboa ambalo walikuwa hawajui! Walijua ukishanyunyizia dawa imetoka vinakufa!
Ambao walikuwa hawajui hili kila wakati walikuwa wakiamka asubuhi wanakuta mimea imekatwa, hapo lazima iwe pata potea tu!
Hivyo kuna mbinu nyingi mno kwenye hii sector ukitaka ikutoe ni lazima ujitoe, na kujifunza siri kutoka kwa wazoefu!
 
Hao walitaka kumbomolea kweli sugu ila wakaangalia pros and cons wakaona hasara ni nyingi......Walitaka kumtia jamba jamba sugu ili aunge mkono juhudi ila wakaona Sugu alifuata process zote wakaona wakiendesha kesi watashindwa pili italeta picha mbaya kwa wawekezaji wengine maana watu ambao sio wanasiasa wataogopo kuwekeza!
 
Habarini za boxing day wananchi,

Sisi tulio uzeeni tunafarijika sana kuona kijana Kama Sugu ambaye ameishi maisha ya taadhari zote za kiuchumi akifanikiwa kuwekeza kwenye hoteli huku akiwa hana skendo yoyote ya wizi wa fedha za umma.

Tumezoea kwa miaka mingi miradi ya vijana wa chama Cha Mapinduzi ikihusianishwa na biashara haramu na utakatishaji fedha ingawa hakuna ambaye amewahi kuhojiwa kuhusu tuhuma ambazo uelekezwa kwao.

Kwa mfumo wa siasa za Tanzania kila tajiri lazima awe ndani ya chama Tawala la sivyo atafilisiwa hata Kama hakuna ushahidi wa jinai ndani ya utajiri wake.

Nichukue fursa hii kuwaomba vijana wenzangu tujitahidi sana kutafuta na kuwekeza kwa kesho yenu na vizazi vijavyo. Sugu amejaribu akifuata nyayo za Mwenyekiti wake wa chama, Profesa Jay yupo vyema, Msigwa pia yupo vyema.

Vijana wengine fanyeni kazi, wekezeni bila kulazimishwa kujiunga na chama Tawala. Utajiri ni moja ya nguzo kubwa yakufanikisha maamuzi kwenye jamii

Tunataka wapinzani wenye nguvu ya kiuchumi na si wapinzani wenye mawazo yakufadhiliwa.
Sugu Ni KIJANA?
 
Wewe una mradi gani halali au umekaa kuaangalia wenzako wamefanya nini....

Ninakuhakikishia 100% kuwa mimi sio wa buku 7 ; ninajitambua na situmwi na mtu , na nina uhakika wa chakula na malazi yangu na familia yangu siku zote za uhai wetu!!!
 
Back
Top Bottom