Hoteli wanayopika ugali asubuhi


Dah!Huu wimbo wenu wa mchakamchaka nimecheka sana.Kweli Taaarime unaifahamu vizuri.Kuna mtoto wake nilisoma nae sehemu.Hiyo kitu ya Marura karibu na round about acha,nilikuwa nikifika Tarime lazima nipige ripoti.
 
Last edited by a moderator:
 
Tujulisheni jamani ni wapi hapo nipate ugali asubuhi maana chai au supu ni usmbufu bora ukandamize asubuhi mpaka jioni tena ukiwa wa ulezi ndio poa au mtama
 

Nakumbuka saaana aise.... Afu kuna jamaa mmoja mwenye hilo jina la mwisho yuko.hapa town ana mawe ya kutosha!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dah!Huu wimbo wenu wa mchakamchaka nimecheka sana.Kweli Taaarime unaifahamu vizuri.Kuna mtoto wake nilisoma nae sehemu.Hiyo kitu ya Marura karibu na round about acha,nilikuwa nikifika Tarime lazima nipige ripoti.

Marura ni noma aiseee..... Afu alikuwa nazo kama tatu hivi, moja karibu na round about ya Serengeti, nyingine palr uwanja wa CCM na nyingine huku barabaraba Imani Hotel. Sijui kama bado zinaoperate????
 

sisi watu wa Butiama tunapata taabu sana huku mikoani hakuna ugari wa muhogo 'Obhukima bhwa Amaribhwa'
 
Hapo kwenye RED... Aaah umetuzuga mkuu! Mi si mkurya lakini kwa ufahamu niliopata kipindi cha nyuma nilipokuwa mitaa ya hao jamaa... KICHURI ni kinyesi cha mbuzi kilichochanganywa na nyongo... Ngoja na wenyewe waje watuelezee zaidi...
 

Miezi hii kichuri huwa kinapumzishwa. Mpango mzima ni kimoro au vitenge, kama wenyewe wanavyopenda kuita. Hii ni nyama pori iliyokaushwa. Kimoro kinapendeza zaidi wakati wa baridi kali. Hasa kilichochomwa ni balaa, maana lazima kuwe na chumvi iliyolowekwa kwenye bakuri ikikolezwa na pilipili kichaa. Hapo ukila lazima kiji-kamasi chembamba kikutoke! Hata kama ni baridi, utatokwa jasho tu!
 
mkuu hakuna cha kushangaza hapo inashangaza sana inategemeana ww unapatikana wapi maeneo gani na unafanya kazi gani.kama unapatikana dar maaeneo ya posta huwezi kutana na hii kitu vile vile kama unafanya zile kazi za kiofisi zaidi basi hii kitu kwako lazima utaiona ni adim sana.
njoo maeneo ya mwenge hii kitu utakutana nayo kwa sana tuu mkuu
 
Hapo kwenye RED... Aaah umetuzuga mkuu! Mi si mkurya lakini kwa ufahamu niliopata kipindi cha nyuma nilipokuwa mitaa ya hao jamaa... KICHURI ni kinyesi cha mbuzi kilichochanganywa na nyongo... Ngoja na wenyewe waje watuelezee zaidi...

kati ya watu walionishangaza kwa mwaka huu we ni wakwanza, kwani manyerere ameelezea kichuri ni nini? na mbaya zaidi kwa kujiamini unasema umezugwa,soma upya post ya manyerere kwa umakini utamwelewa kitu alichokieleza.
 

ehee kimoro nacho ni hatari,nazani kitakuwa kinatoka serengeti,yaani ukikipata kimoro cha swala +ugali wa mhogo+bamia,udenda lazima utoke.
 
Ni sawa tu mkuu kupika ugali asubuhi maana wataalamu wa masuala ya lishe wanatuelekeza tupende kula msosi wa kutosha asubuhi na mchana alafu usiku tunakula kiduchu tu na tuache utamaduni wetu wa vice versa (asubuhi chai andazi moja na nusu alafu mchana na usiku tunashindilia)
 
Mkuu mbona hayo maneno ya kawaida kure kwetu, je nikianza kuibhaka si server zinajam!!!!

ni ya kawaida lakini ukiyatafsiri kwa kiswahili lazima ban ikumaliza,kuna bibi mmoja apo tarime mjini mitaa ya ronsoti kila asubuhi akiamuka anatoa matusi kwa mabinti zake ata bila sababu, adi majirani wanaamka, utasikia nyakundo ,msagani, kivumvu cha nyakwenu na mengine siyakumbuki.
 
Mkuu mbona hayo maneno ya kawaida kure kwetu, je nikianza kuibhaka si server zinajam!!!!


ni ya kawaida lakini ukiyatafsiri kwa kiswahili lazima ban ikumaliza,kuna bibi mmoja apo tarime mjini mitaa ya ronsoti kila asubuhi akiamuka anatoa matusi kwa mabinti zake ata bila sababu, adi majirani wanaamka, utasikia nyakundo ,msagani, kivumvu cha nyakwenu na mengine siyakumbuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…