Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hoteli kadhaa zikaamua kupika asubuhi chakula kinacholiwa mchana, bila kujali ni ndizi, wali ama ugali na maharage.
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hoteli kadhaa zikaamua kupika asubuhi chakula kinacholiwa mchana, bila kujali ni ndizi, wali ama ugali na maharage.