Hoteli wanayopika ugali asubuhi

Hoteli wanayopika ugali asubuhi

leo.leo

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2013
Posts
408
Reaction score
217
Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!

Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hoteli kadhaa zikaamua kupika asubuhi chakula kinacholiwa mchana, bila kujali ni ndizi, wali ama ugali na maharage.
 
Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hotel kadhaa zikaamua kupika saubuhi chakula kinacholiwa mchana,bila kujali ni ndizi,wali ama ugali na maharage

Ndugu yangu umenikumbusha mbali. Ukifika Butiama, nyumbani kwa Baba wa Taifa, sehemu inaitwa Stendi, hapo saa 12 asubuhi tayari kuna ugali na nyama vinakuwa vimeshaiva. Hicho chakula wenyewe utasikia wanasema, "Lete rungu kwa kichuri". Maana yake ni ugali wa mtama uliochanganywa kwa mhongo kwa nyama ya mbuzi. Pembeni lazima kuwe na pilipili.
 
mbona kawaida mkuu ,uvira hapo congo watu hawanywi chai wanagonga ugali na kisamvu asubuhi , na karibu wacongo wote chai wanaijua huku TZ .
 
Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hotel kadhaa zikaamua kupika saubuhi chakula kinacholiwa mchana,bila kujali ni ndizi,wali ama ugali na maharage

Kama umekulia Dar, lazima iwe BIG news. Mkoani hiyo kitu ni kawaida sana, kutokana na nature ya kazi zao, ambazo nyingi ni za nguvu. Nikawaida sana ukifika mji kama Mwanjelwa Mbeya kukuta ugali na wali viko tayari saa 12 asb. Watu wa minadani ambao hawana nafasi ya kula pia hula ugali ama wali mida hiyo ya asb
 
Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hotel kadhaa zikaamua kupika saubuhi chakula kinacholiwa mchana,bila kujali ni ndizi,wali ama ugali na maharage

Njoo hapa kwetu Iringa keepleft ya uwanja wa samora, kama waelekea down ya ipogolo asubuhi nguna unapata tena nyeupe kabisa haina pumba kwa nyama choma .........
 
Mkuu kama watu hapa hapa mjini wanakula viporo vya wali maharage, iweje washindwe kumemena nguna!!!

Kwa taarifa yako wale wakulima wa Kisukuma au Kikurya, huwa wanakula ugali mkubwa wa dona halafu pembeni kunakuwa na ugali mdogo wa sembe...huo ugali mdogo ndio unafanywa kama mboga...na hayo yote hufanyika sio asubuhi bali ni alfajiri jogoo wa kwanza tu akiwika

Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hotel kadhaa zikaamua kupika saubuhi chakula kinacholiwa mchana,bila kujali ni ndizi,wali ama ugali na maharage
 
Kwangu imekuwa news baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hotel kadhaa zikaamua kupika saubuhi chakula kinacholiwa mchana,bila kujali ni ndizi,wali ama ugali na maharage

Kuna sheria au utaratibu wa kuwa ugali uliwe mchana??? Tembelea kwa wasukuma upo ugali kwa mtindi asubuhi wanaita "ka-wachungaji". Kwa hiyo hiyo ipo siyo habari mpya.
 
mbona bia zinanywewa asubuhi? tegemea mtu ana njaa kiasi gani..
 
Mkuu kama watu hapa hapa mjini wanakula viporo vya wali maharage, iweje washindwe kumemena nguna!!!

Kwa taarifa yako wale wakulima wa Kisukuma au Kikurya, huwa wanakula ugali mkubwa wa dona halafu pembeni kunakuwa na ugali mdogo wa sembe...huo ugali mdogo ndio unafanywa kama mboga...na hayo yote hufanyika sio asubuhi bali ni alfajiri jogoo wa kwanza tu akiwika

hii kali zaidi.nadhani watu wa hotel jijini watumie fursa ya kibiashara kuandaa dona asubuhi
 
Back
Top Bottom