Hoteli Jijini Arusha

Wee ndio boss wa hiyo hotel, unaipigia promo eeh?
Subiri watakuja hapo, na watatoa mrejeshoo.
Lipia tangazo mkuu.
Hapana; nina safari ya kwenda Aurusha na familia yangu. Natafuta hotel ya kukaa siku mbili ili tuweze kwenda Ngorongoro. Bei ya hoteli nyingi zinaazia dola 200 lakini hawa wanapia bei chini ya dola 100. Ndiyo maana nikauliza kama kuna anyeijua. Unajua kuwa cheap is expensive
 
Kwanini usi contact nao ili upate uhakika??
 

www.Booking.com
 
$100 itakuwa powaa.. kama unatakwa watoto wafurahi sogea Gran Melia
 
Contact nao nimeshapata wakanipa bei zao. Hawawezi kuniambia ukweli kuhusu ubora au udhaifu wa hoteli yao. Ndiyo maana natafuta third part opinion
Kama Dola 100 ni ndogo, nenda Grand Melia ni pesa kidogo tu kama $500 kwa siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…