Hotel kubwa Morogoro kubomolewa

Hotel kubwa Morogoro kubomolewa

Jamani Mtamuua Mzee Wa Watu MATHROPE Baba Mwezi Ujao 2016 Kwani Nina UHAKIKA Wote Tena ULIOTUKUKA Kuwa Yeye Ndiyo MMILIKI Mkuu Wa Hiyo Hotel Japo MAPOPOMA Wanadai Ni Ya Prince From Msoga. Hakika Rais Dr. MAGUFULI Nimekukubali Na Yule Aliyekuja Na Huu Msemo Kuwa UKITAKA Kumuua Nyani Usimwangalie USONI Sasa Nimeanza Kumwelewa. Pole Sana Mzee Wetu MATHROPE!

Mathrope ndiyo nani. Maana kwingine anasomeka Mkulo. Sijui lakini ni ndogondogo zinapita mitandaoni.
 
Mathrope ndiyo nani. Maana kwingine anasomeka Mkulo. Sijui lakini ni ndogondogo zinapita mitandaoni.

Litafsiri Vizuri Hilo Neno Kwa Kiswahili Kwa Kuzitenga Kwanza Herufi " Ma " Halafu Dadavua Kiumakini Sana Neno La Kiingereza La " Thrope " Kisha Yaunganishe Yote Na Hapo Utamjua Tu Mkuu.
 
Hapo mmiliki anatakiwa akimbilie mahakamani kuweka pingamizi. Hakuna mtu aliye juu ya mahakama bana. Kuna jengo kama hili lilitaka kuvunjwa Masaki miaka ya 2007. Serikali yenyewe ili back down na mpaka sasa yale majengo yapo.... Duh kamji ka Morogoro kalishaanza kupendeza,sasa wawekezajai wooote watakimbia...

Watanzania wengi kwa IQ ndogo hamjambo!afungue kesi kwa ground kwamba bomba limemkuta yeye ama vp?Kama unadhani
hii serikali ni sawa na ya 2007 kamuulize yule aliyejenga katka njia ya bomba la maji.Watu mnaowaita wawekezaji wanashirikiana na watumishi wa umma kufanya madudu kama hayo.Itavunjwa tu!kama umekasirika kale malimao
 
Litafsiri Vizuri Hilo Neno Kwa Kiswahili Kwa Kuzitenga Kwanza Herufi " Ma " Halafu Dadavua Kiumakini Sana Neno La Kiingereza La " Thrope " Kisha Yaunganishe Yote Na Hapo Utamjua Tu Mkuu.

Hahahahaaaaaa
 
Wamwambie anunue eneo karibu na jengo ilo ili liwe wazi..kwa
Nchi masikinii na watu masikini ni Kufuru kuharibu iyo Mali...kwani ramani ya hapo imetoka ktk vitabu vya dini kuwa haiwezi kubadilishwa..
 
Wamwambie anunue eneo karibu na jengo ilo ili liwe wazi..kwa
Nchi masikinii na watu masikini ni Kufuru kuharibu iyo Mali...kwani ramani ya hapo imetoka ktk vitabu vya dini kuwa haiwezi kubadilishwa..

Hoja ya msingi kuna bomba la mafuta chini. Lile la zambia.
Na kingine sheria Lazima iheshimiwe. Sawa mkuu...
 
Ulaya huwa naona kuna teknolojia ya 'kuhamisha' majengo...
Jamaa ana hela...
Afanye ku-google fasta...
 
Hivi kama kiwanja kapewa na manispaa na amekitafutia hati, kibali cha ujenzi anacho na kipo kihalali, taratibu zote kafuata..hawezi kuishitaki serikali na kudai fidia kama jengo likibomolewa?
Ramani za miji na manispaa zipo na haziwezi kuonesha kiwanja juu ya bomba la mafuta!,wanachofanya matajiri ni kuwahonga watendaji na kulazimisha kujenga pasipofaa.Hayo ndo malipo yake
 
magumashi yanamwisho ndiyo maana hiki kiwanja nilikataa kununua in 2007...
 
Hapa kazi tu,ukivunja sheri maumivu ni lazima huyapate tu.
 
Ni Matumaini Yangu Makubwa Kuwa UMESHAMJUA Mkuu. Na Huyo Ndiyo Mwenye Hiyo Hotel Hao Wengine Sijui Mustapha Na Rizmoja Mnawaonea Kama Siyo Kuwasingizia Tu.

Yep.!!!! Kumbukumbu zinaonesha hivyo....
 
Muhandisi,na Afisa Mipango miji wamepewa wiki moja why wasitimuliwe kazi
 
Hii sasa ni kupeana hasara
Kupeana hasara kivipi? Hivyo unalijua jengo lenyewe? Hakuna mtumishi wa umma kama huyu afanyaye kazi TRA anayeweza kulijenga! Huu ni wizi mtupu wa mali zetu za umma. Isitoshe jeuri ya kujenga eneo la wazi kaipata wapi? Lazima afundishwe adabu na ajue kwamba Tanzania ilikuwepo kabla yeye hajajua kuiba.
 
hao walijenga wamefanya makosa. lakini watendaji wa serikali walikuwa wapi kuzuia huu ujenz kuanzia ujenzi unaanza? kawaida ujenzi wa gorofa lazima halimashauri ijue na inginia wa halmashauri lazima ahusike. walikuwa wapi wote hawa? serikali isiishie tu kumbomolea huyo jamaa bali iende mbele zaidi kuwawajibisha waliohusika na uzembe huu. to sad.

Shida ya baadhi yetu hata tukiambiwa kwamba hili eneo si halali kwa ujenzi basi tunatembeza mkwanja kwa imani kwamba baada ya muda watu watasahau.

Lakini seriously, hivi wewe mwekezaji na akili zako timamu unajenga kitegauchumi cha kiwango kile juu ya bomba la mafuta au maji? Siku likija kupasuka utasema nini, Mungu amekuonea, au ilikuwa bahati mbaya?
 
Back
Top Bottom