lovedboy
Member
- May 28, 2015
- 21
- 5
Ndio maana hii nchi haiendelei. Wachawi kila kona, Mtu unaweza ukadhani wachawi ni wale wanaoruka na ungo usiku, kumbe wengine wanatembelea Kilimo kwanza. Unaanzaje kubomoa jengo kama hilo. Kwani wao walikuwa wapi tangu msingi unaanza kuchimbwa?
Serikali iliyokuwepo haikuwa na meno sasa now n serikali mpya kila aliyetenda kosa atawajibika. Ikombolewe tuu sio eneo la majengo ni sehemu ya wazi tena linapita Bomba la Mafuta