Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Imejengwa juu ya bomba LA mafuta LA TAZAMA no lazima ibomorewe tu
Bomba haliwezi kuhamishwa?
Imejengwa juu ya bomba LA mafuta LA TAZAMA no lazima ibomorewe tu
Bomoa tu, tumechoka
Katibu mkuu TAMISEMI ameipa manispaa Morogoro mpaka tarehe Tisa wawe wameshaibomoa na kuwawajibisha watumishi walioruhusu ujengwaji huo.
Chanzo: TBC habari
Huyo mmriki nae boya tu atafanyaje uwekezaji mkubwa namna hii bila kufanya upembuzi yakinifu? hotel kubwa namna ile unaijenga juu ya bomba la mafuta?? no wonder pesa ya uwekezaji huo itakuwa ni dirtyMONEY
Hapana Mkuu Ni Ya Mzee MATHROPE 100% Amini Haya Niyasemayo.
Hotel inaitwaje. Ila hii sio nzuri mtu amejenga kamaliza huduma zimeanza afu inabomolewa. Siasa hizi
Hivi kama kiwanja kapewa na manispaa na amekitafutia hati, kibali cha ujenzi anacho na kipo kihalali, taratibu zote kafuata..hawezi kuishitaki serikali na kudai fidia kama jengo likibomolewa?
Utwambie kabisa hotel ni ya nani make kuna huyu POPOMA mmoja anajiita GENTAMYCINE ametuhabarisha kuwa eti ni ya Babaake DogoJembe... sasa wengine tukajiongeza pengine familia imeponzwa na ile mikatuni yake anayorusha kutwa kuchwa mitandaoni kumkashfu Rais wa mioyo ya Watanganyika Mheshimiwa saaana Dr.JJP Magufuli.
Imejengwa juu ya bomba LA mafuta LA TAZAMA no lazima ibomorewe tu
Utwambie kabisa hotel ni ya nani make kuna huyu POPOMA mmoja anajiita GENTAMYCINE ametuhabarisha kuwa eti ni ya Babaake DogoJembe... sasa wengine tukajiongeza pengine familia imeponzwa na ile mikatuni yake anayorusha kutwa kuchwa mitandaoni kumkashfu Rais wa mioyo ya Watanganyika Mheshimiwa saaana Dr.JJP Magufuli.