Ahahaaaaaa.
Waje na hapa Banana kituoni,kuna jamaa alipewa hapa eneo kwa ajiri ya uzalishaji wa kuku,sasa yeye kajenga mafremu mengi ya biashara na anakodisha kwa tshs laki 600,000 kwa mwezi na ana frem zaidi ya mia3(300)+mabaa yaliyojazana hapa yani ni shida tupu.
sasa mkuu unataka huyo "babu mangi" akale wapi..?
Pia kumbuka kuwa Java kuna hduma mbali mbali
kama zile za kupata Noah, short service, etc
Ila kiukweli lile eneo la pale banana ni kubwa afu zimejaa
baa uchwara tu wakati pangeweza kujengwa vitega
uchumi vya maana tu (nakumbuka sana ule mradi wa kuku ulikuwepo kipindi cha nyuma)
Wape hi masela wote wa kinyatila, mwanagati, kibeberu, kwa wakurya, etc.
Watanzania Tujifunze kuishi kwa kufuata sheria ndio tutaendelea, Huu ukanjanja ndio kama hivyo ikija serikali mpya mambo yanabadilika!Ndio maana hii nchi haiendelei. Wachawi kila kona, Mtu unaweza ukadhani wachawi ni wale wanaoruka na ungo usiku, kumbe wengine wanatembelea Kilimo kwanza. Unaanzaje kubomoa jengo kama hilo. Kwani wao walikuwa wapi tangu msingi unaanza kuchimbwa?
Hapo mmiliki anatakiwa akimbilie mahakamani kuweka pingamizi. Hakuna mtu aliye juu ya mahakama bana. Kuna jengo kama hili lilitaka kuvunjwa Masaki miaka ya 2007. Serikali yenyewe ili back down na mpaka sasa yale majengo yapo.... Duh kamji ka Morogoro kalishaanza kupendeza,sasa wawekezajai wooote watakimbia...
kama serikali ipo serious mbona isiwaahughulikie waliotoa kibali na toka msingi unawekwa wao kimya tu huo ni uka toon
Jengo kama jengo halitabomolewa kilichojengwa sehemu isiyostahili ni standby generator tu na ndokitakachobomolewa