Unajua saa nyingine uneweza kuwa umechanganyikiwa lakini ikari kakurudia sababu ya comments kama hizi! Sema tu kitufe cha 'like' sikioni.walitaka ijengwe mafichoni?
Ahaaaaaa.
Mkuu kumbe ni maeneo yako hee!!!!!
Yule jamaa kapiga HELA ndefu sana mpaka sasa.
Bcoz even familia yake nasikia wanaishi kwa Obama.
By the way huku kwema kabisa mkuu.
Ila pale Ngemo bar pasivunjwe maana ugali wa pale na nyama choma saa mbili asubuhi ni balaaaaaa,yani unaenda town uko saaaaafi na lichupa la maji la lita moja na nusu.
Ahaaaa..birds of the same feathers normally flocks together.
na bila kusahau huduma ya kila aina ya nyama unayoitaka
iwe ya TANAPA au ya kitaaa...ngawila zako tu.
Kwani yeye wakati anajenga jengo kubwa hivyo hakujua anapojenga?Hotel inaitwaje. Ila hii sio nzuri mtu amejenga kamaliza huduma zimeanza afu inabomolewa. Siasa hizi
Mmiliki wa hilo jengo ni zezeta. Huwezi jenga jengo kubwa kiasi hicho bila kujua uhalali wa uwanja. Wabomoe tu. Haki sawa kwa wote. Masikini nao wanabomolewa majengo yao waliyoteseka kuyajenga.Ndio maana hii nchi haiendelei. Wachawi kila kona, Mtu unaweza ukadhani wachawi ni wale wanaoruka na ungo usiku, kumbe wengine wanatembelea Kilimo kwanza. Unaanzaje kubomoa jengo kama hilo. Kwani wao walikuwa wapi tangu msingi unaanza kuchimbwa?
Huyo anayetoza na daladala?Ahahaaaaaa.
Waje na hapa Banana kituoni,kuna jamaa alipewa hapa eneo kwa ajiri ya uzalishaji wa kuku,sasa yeye kajenga mafremu mengi ya biashara na anakodisha kwa tshs laki 600,000 kwa mwezi na ana frem zaidi ya mia3(300)+mabaa yaliyojazana hapa yani ni shida tupu.
Yaani hilo bomba la mafuta liko chini kiasi gani? Au hiyo ghorofa msingi umeanza juu mchangani?limejengwa chini kuna bomba la mafuta la tazama sasa hao walioidhinisha tokea msingi walihama nchi ndio wamerudi amaaa.hii nchi haishi vituko
Mkuu tusilie kwa sababu ya jengo hili. Walala hoi pia wanavunjiwa nyumba. Maumivu yao yanafanana. Jengo kama limejengwa pasipostahili linapaswa kuvunjwa. Kuacha kwa sababu ya ukubwa wa jengo inapoteza haki.Unajua saa nyingine uneweza kuwa umechanganyikiwa lakini ikari kakurudia sababu ya comments kama hizi! Sema tu kitufe cha 'like' sikioni.
Walisema wataongeza ajira na sasa wanazipunguza, japo ili shamba litoe mazao mazuri ni lazima lisafishwe kwanza. Nawakumbusha tu kuwa hii nchi haijawahi kuwa chini ya mtawala mwingine mbali na genge la ccm ambao ndio hawa hawa wanaotoa amri leo!!!!. Tukubaliane kuwa hawakuwa malaika na makosa waliyoyafanya ingelipendezwa yakaisha kwa maridhiano badala ya vitisho na amri!
Ni kweli kabisa. Kama lipo pasipostahili linapaswa kuvunjwa. Haki sawa.Tujifunze na sisi kutaka vitu kwa madili. Ni bora tukafuata sheria