elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Nimekaa nikafikiria sana na bado sijapata majibu hivi sisi wananchi wa Tanzania tunataka nn katika nchi hii?? Maana kabla ya uchaguzi tulipiga sana kelele za mabadiliko.sasa mabadiliko yanakuja tena kwa kufuata sheria na kwa kutoa vigezo,adv na dis advantage zake,cha ajabu wananchi tumegeuka na kuanza kulalamika hadi mishipa inatutoka.watanzania ni nani aliyetuloga sisi jamani woi! Nnachojua chloroquine ilikuwa chungu sana lkn ilikuwa kiboko ya malaria.tuwaache kesho LA watu wanne wafanye kazi jamani tuache tabia za kulalamika lalamika kusiko na misingi chaa.
yani mkuu watanzania hawaeleweki, eti sasa wanataka ifanykkr negotiation kwa mtu aliyevunja sheria wakati hawa hawa watanzania walikuwa wanapiga kelele wakitaka mabadiliko.
mimi naunga mkono haijalishi kainvest kiasi gani kama hakufuata shera no negotiation libomolewe tu ili iwe fundisho hakuna mtu atathubutu kuiba na kujenga pasipo stahili.
haya mambo ya kubebana ndiyo yametufikisha hapa tulipo.
ila watanzania sijui tufanyiwe nini mtu akichapa kazi mara utasikia huyu anataka sifa sasa