Hotel kubwa Morogoro kubomolewa

Hotel kubwa Morogoro kubomolewa

Inauma nipo Moro nikiliona tu naumia ila hakuna namna

Wajaribu pia kupitia pale Nasheera
kama kuna irregularities wabomolewe pia
maana upatikanaji wa eneo la Nasheera ulipatikana kimagumashi sana
 
Yaani ukiniambia ni fence na shelter ya generator ndio zimezidi hapo nakuelewa lakini ukisema ghorofa lote liko kwenye eneo la bomba la mafuta hiyo ilikuwa haiingii akilini, kwa sababu msingi wa ghorofa huwa wanachimba sana lazima wangelikuta hilo bomba
 
Yaani hilo bomba la mafuta liko chini kiasi gani? Au hiyo ghorofa msingi umeanza juu mchangani?

Watu wagumu wa kuelewa ka nn...mmeambiwa siyo gorofa ni kibanda cha generator na kipande cha fence kimejengwa kwenye hifadhi ya bomba...siyo juu ya bomba la TAZAMA
 
Back
Top Bottom