Yaani ukiniambia ni fence na shelter ya generator ndio zimezidi hapo nakuelewa lakini ukisema ghorofa lote liko kwenye eneo la bomba la mafuta hiyo ilikuwa haiingii akilini, kwa sababu msingi wa ghorofa huwa wanachimba sana lazima wangelikuta hilo bomba
Watu wagumu wa kuelewa ka nn...mmeambiwa siyo gorofa ni kibanda cha generator na kipande cha fence kimejengwa kwenye hifadhi ya bomba...siyo juu ya bomba la TAZAMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.