MISRI KUKAYA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 941
- 1,255
Acha uongo,mimi ni mwanamwanza na niko Mwanza.Usitusemee.Mwanza hawajawai kuchagua ccm toka mwaka 1995 ukiona ccm imeshinda ujuewizi wa kula hasa nyamagana
Mwanza walikuwa wamefanya mapinduzi makubwa mwaka 2020 kama uchaguzi ungekuwa huru dunia ingeshangazwa.
Majeraha ya uchaguzi 2020 yatakuwa mala mbili ya 2025 chadema ina nguvu sana kanda ya ziwa ikiwa kitovu ni mwanza.