Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,491
- 3,862
Basi hongera yaoYakwao wamejenga
Basi hongera yaoYakwao wamejenga
WAMEJENGA KWA RUZUKU WAPATAZO AU WAMEKODI TENA?,Nimeona picha za jengo jipya la Makao Makuu ya Chadema, jengo lililopo Mikocheni Dar Es Salaam.
Jengo lenye facilities za kisasa kama kumbi za mikutano ya kisiasa, lakini lina afadhali kubwa inayoendana na ukubwa wa chama, ukilinganisha na lile lililoko pale Ufipa Street.
Hapa ndipo panatakiwa kuwa center ya kuanzisha mashambulizi, ili kuhakikisha bandari zetu zote zilizotolewa bure kwa mwarabu milele, zinarudishwa kwenye mikono yetu watanaganyika.
Nawakaribisha johnthebaptist na wenzako siku ya ufunguzi wa jengo hilo itakayokuwa mwezi huu, msiache kuja na simu zenu zikiwa zimejaa chaji ya kutosha ili mjipigie picha nyingi muwezavyo muende nazo nyumbani.
Karibuni sana.View attachment 2674717
Pia soma: CHADEMA yakataa Unyonge, sasa kuhamia kwenye Makao Makuu mapya
Wamejenga kwa fedha zaoWAMEJENGA KWA RUZUKU WAPATAZO AU WAMEKODI TENA?,
Labda kama walimpora mama yako, hilo ni jengo lao na wamelijenga wenyeweMajengo ya kupora. Hawakujenga wao kwa taarifa yako
pumbavu zako sanaNapendekeza liitwe " Maridhiano House"
🤣🤣🤣pumbavu zako sana
dalali na ACT yake si anajengo? huku kaskazini sijawahi hata kuona bendera ya ACTHuenda hii itakuwa ni habari mbaya zaidi kwa wanaCCM na makupe zake (ACT) kwa asubuhi hii.
Hivi Kigoma ACT wanaofisi kweli?ACT watakuwa na Agenda gani sasa na tunaelekea kwenye Uchaguzi?Agenda yao Kuu ilikuwa CHADEMA hawana Ofisi huu muda uliobaki utawatosha kweli kutafuta Agenda Mpya kuu ya kuwachanganya Wananchi?
Eti hicho kijengo ndio kimetafuna Bilioni 2,Chadema acheni utapeliNimeona picha za jengo jipya la Makao Makuu ya Chadema, jengo lililopo Mikocheni Dar Es Salaam.
Jengo lenye facilities za kisasa kama kumbi za mikutano ya kisiasa, lakini lina afadhali kubwa inayoendana na ukubwa wa chama, ukilinganisha na lile lililoko pale Ufipa Street.
Hapa ndipo panatakiwa kuwa center ya kuanzisha mashambulizi, ili kuhakikisha bandari zetu zote zilizotolewa bure kwa mwarabu milele, zinarudishwa kwenye mikono yetu watanaganyika.
Nawakaribisha johnthebaptist na wenzako siku ya ufunguzi wa jengo hilo itakayokuwa mwezi huu, msiache kuja na simu zenu zikiwa zimejaa chaji ya kutosha ili mjipigie picha nyingi muwezavyo muende nazo nyumbani.
Karibuni sana.View attachment 2674717
Pia soma: CHADEMA yakataa Unyonge, sasa kuhamia kwenye Makao Makuu mapya
sawa ila bado tuko na maridhiano ya dp world na hangaya chiefNapendekeza liitwe " Maridhiano House"
Poa,watu wanakodi bandariYn nyumba ya mtu ndo wanataka kuifanya makumbusho [emoji23]
Kwani kupanga shida mzeeYa kwao au wamepanga?,kama wamepanga haina maana yoyote ni mafisadi kama mafisadi wengine.
Watoe wapi ?Wamejenga kwa fedha zao
Mkuu mrangi kuendelea kupanga pamoja na kiasi kikubwa cha ruzuku wanachopata kinaacha maswali mengi kuliko majibu.Kwani kupanga shida mzee
Mbina kuna watu wamekodisha bandari
Ova
Hivi mna uhakika gani kule hawajapanga ?Mkuu mrangi kuendelea kupanga pamoja na kiasi kikubwa cha ruzuku wanachopata kinaacha maswali mengi kuliko majibu.