Mkataba wa hovyo wa bandari zetu kutolewa kwa mwarabu ni hoja nzuri kabisa, muhimu wajue tu, watanganyika sio wajinga.ACT watakuwa na Agenda gani sasa na tunaelekea kwenye Uchaguzi?Agenda yao Kuu ilikuwa CHADEMA hawana Ofisi huu muda uliobaki utawatosha kweli kutafuta Agenda Mpya kuu ya kuwachanganya Wananchi?
Wameridhiana kuhusu mkataba wa Bandari auNapendekeza liitwe " Maridhiano House"
Ni sawa na kuuza nyumba uliyopangaMbona kawaida tu.
Yakwao wamejengaYa kwao au wamepanga?,kama wamepanga haina maana yoyote ni mafisadi kama mafisadi wengine.
Au Bandari houseNapendekeza liitwe " Maridhiano House"
DP Bandari House itapendeza zaidi!Hili nalo wazo zuri.
Alafu unaweza kuta hilo jengo wamekodishwa na Mwenyekiti wao,Mbowe anaijua sana pesa!!Jengo la kukodi halina maana yoyote. Chama kina zaidi ya miaka thelathini bado kimeshimdwa kumiliki jengo la ofisi
Tupe mtaa ilpo, nyumba namba ngapi?January!
Nimeona picha za jengo jipya la Makao Makuu ya Chadema, jengo lililopo Mikocheni Dar Es Salaam.
Jengo lenye facilities za kisasa kama kumbi za mikutano ya kisiasa, lakini lina afadhali kubwa inayoendana na ukubwa wa chama, ukilinganisha na lile lililoko pale Ufipa Street.
Hapa ndipo panatakiwa kuwa center ya kuanzisha mashambulizi, ili kuhakikisha bandari zetu zote zilizotolewa bure kwa mwarabu milele, zinarudishwa kwenye mikono yetu watanaganyika.
Nawakaribisha johnthebaptist na wenzako siku ya ufunguzi wa jengo hilo itakayokuwa mwezi huu, msiache kuja na simu zenu zikiwa zimejaa chaji ya kutosha ili mjipigie picha nyingi muwezavyo muende nazo nyumbani.
Karibuni sana.View attachment 2674717
Pia soma: CHADEMA yakataa Unyonge, sasa kuhamia kwenye Makao Makuu mapya
Mtaa ni mamba ya kizamani sana bwashee 😄😄!Tupe mtaa ilpo, nyumba namba ngapi?
Demokrasia House.Napendekeza liitwe " Maridhiano House"
Niwapongeze kwa kupanga jengo jipya wajitahidi kulipia kwa wakati.Nimeona picha za jengo jipya la Makao Makuu ya Chadema, jengo lililopo Mikocheni Dar Es Salaam.
Jengo lenye facilities za kisasa kama kumbi za mikutano ya kisiasa, lakini lina afadhali kubwa inayoendana na ukubwa wa chama, ukilinganisha na lile lililoko pale Ufipa Street.
Hapa ndipo panatakiwa kuwa center ya kuanzisha mashambulizi, ili kuhakikisha bandari zetu zote zilizotolewa bure kwa mwarabu milele, zinarudishwa kwenye mikono yetu watanaganyika.
Nawakaribisha johnthebaptist na wenzako siku ya ufunguzi wa jengo hilo itakayokuwa mwezi huu, msiache kuja na simu zenu zikiwa zimejaa chaji ya kutosha ili mjipigie picha nyingi muwezavyo muende nazo nyumbani.
Karibuni sana.View attachment 2674717
Pia soma: CHADEMA yakataa Unyonge, sasa kuhamia kwenye Makao Makuu mapya
Hapana Chadema hakunaga Demokrasia!Demokrasia House.
Bora ofisi ya kukodi kuliko kutambia ofisi za urithi wa mfumo wa chama kimoja.Jengo la kukodi halina maana yoyote. Chama kina zaidi ya miaka thelathini bado kimeshimdwa kumiliki jengo la ofisi
Ya kupanga au mmejenga na pesa za ruzuku tunazowapa!?Huenda hii itakuwa ni habari mbaya zaidi kwa wanaCCM na makupe zake (ACT) kwa asubuhi hii.