Pesa za ruzuku mnapelekq wapi!?Bora ofisi ya kukodi kuliko kutambia ofisi za urithi wa mfumo wa chama kimoja.
Pesa za ruzuku mnapelekq wapi!?Bora ofisi ya kukodi kuliko kutambia ofisi za urithi wa mfumo wa chama kimoja.
Wanazitumia kuipigania bandari ya wanainchi iziuzwe kwa wajomba za wa mama yako.Pesa za ruzuku mnapelekq wapi!?
Pesa za ruzuku mnapelekq wapi!?
Wamekodi ,hawana jeuri ya kujengaJENGENI NYINGINE DODOMA
Zinawahumia wafuatao ;Pesa za ruzuku mnapelekq wapi!?
Kutoa elimu ya uraia.Pesa za ruzuku mnapelekq wapi!?
Mama yangu tena!!?Wanazitumia kuipigania bandari ya wanainchi iziuzwe kwa wajomba za wa mama yako.
Mnaanza hamisha magoli tena?Jengo la kukodi halina maana yoyote. Chama kina zaidi ya miaka thelathini bado kimeshimdwa kumiliki jengo la ofisi
Ccm wana majengo kila kona ya nchi ila serikali yake wameshindwa ata kusimamia bandari.Jengo la kukodi halina maana yoyote. Chama kina zaidi ya miaka thelathini bado kimeshimdwa kumiliki jengo la ofisi
House of DemocracyNapendekeza liitwe " Maridhiano House"
Ofisi ya nini tena ,si mlisema Ofisi yenu ni vichwa vya watu?Nimeona picha za jengo jipya la Makao Makuu ya Chadema, jengo lililopo Mikocheni Dar Es Salaam.
Jengo lenye facilities za kisasa kama kumbi za mikutano ya kisiasa, lakini lina afadhali kubwa inayoendana na ukubwa wa chama, ukilinganisha na lile lililoko pale Ufipa Street.
Hapa ndipo panatakiwa kuwa center ya kuanzisha mashambulizi, ili kuhakikisha bandari zetu zote zilizotolewa bure kwa mwarabu milele, zinarudishwa kwenye mikono yetu watanaganyika.
Nawakaribisha johnthebaptist na wenzako siku ya ufunguzi wa jengo hilo itakayokuwa mwezi huu, msiache kuja na simu zenu zikiwa zimejaa chaji ya kutosha ili mjipigie picha nyingi muwezavyo muende nazo nyumbani.
Karibuni sana.View attachment 2674717
Pia soma: CHADEMA yakataa Unyonge, sasa kuhamia kwenye Makao Makuu mapya
Kwani CCM iliwahi kujenga jengo lipi? Hayo mliyonayo mlipora kutoka kwa wananchi sababu yalijengwa wakati wa chama kimoja kwa nguvu za wananchi wote uwe mwanachama au la!!!Jengo la kukodi halina maana yoyote. Chama kina zaidi ya miaka thelathini bado kimeshimdwa kumiliki jengo la ofisi
Maridhiano na nani mkuu ?Napendekeza liitwe " Maridhiano House"
Tena siyo urithi ni unyang'anyi au uporaji wa ofisiBora ofisi ya kukodi kuliko kutambia ofisi za urithi wa mfumo wa chama kimoja.
Maridhiano yamezaa Ruzuku iliyozaa Jengo la HQ ya ChademaMaridhiano na nani mkuu ?
Majengo ya kupora. Hawakujenga wao kwa taarifa yakoCcm wana majengo kila kona ya nchi ila serikali yake wameshindwa ata kusimamia bandari.