FactEatv remains the number one youth channel
Quality and content
Kwa lipi hasa?? Mbona wako katiya failed media Tanzania??Fact
hahahaha jamaa unanifurahishaga hizo comment zako juu ya huyo mkulungwaAisee hii thread itasababisha yule Kigoma Independent akose hata hamu ya kula.
Inno ni dogo langu lazima nimchangamshe 🤣🤣🤣hahahaha jamaa unanifurahishaga hizo comment zako juu ya huyo mkulungwa
Unapozungumzia kampuni yoyote kubwa ili ifanye kazi mara nyingi inawekwa katika mfumo wa hisa. Hili lipo wazi haliitaji maelezo . Hata Wasafi ina wadau wengi waliowekeza pale. Na sio Naseeb peke yake. Lakini mfumo wa hisa una taratibu zake .ukimpa mamlaka mtu mwenye hisa nyingi ama mkurugenzi. Na kuonekana kama ndio mmiliki mkuu wa kampuni husika ili hali kunakuwa na wamiliki wengine nyuma yake. Huu mfumo upo sehemu nyingi ikiwemo hata hiyo Wasafi.Kwani si mnasemaga wasafi media sio ya Diamond, mbona linapokuja suala la kuvikosoa hivyo vituo mmamuhusisha Mond moja kwa moja?
Lakini linapokuja suala la kuvisifia Mnasema ni vya Kusaga.
WALIMWENGU WANAFIKI SANA
Mbona ameshafika na kuwapita....jirani akiwa dhaifu basi nawe huna haja yakuumiza kichwa kumfunika..clouds nao pia ndio walewale..efm ndio kabisaaaShida ipo hapo anataka kufika walipofika jirani zake kwa haraka
Upo sahihi Sana binafsi nilimjua kupitia WasafiMi naona Jonijoo alipokuwa wAsafi ndo alikuwa wamoto
Huu ugomvi wa CLOUDS VS WASAFI siuoni hata kidogo. Umetengenezwa ili kuifanya mawingu iwepo ilipo.Kiukeli kabisa mini ni Team Mond ila kwenye uwekezaji wa media zako hadi sasa naona hamna cha maana UBORA WA WASAFI TV ni wa chini sana hasahasa kwenye Live events.
yaani WBC LABELndio inaibeba Wasafi Media badala ya Media kuibeba LABEL,
Tatizo naloliona ni kuwa WAMEKAMIA SANA KUTAKA KUIFUNIKA CLOUDS kwa muda mfupi, sasa inakua too much