Pamoja na changamoto za uchumi lakini mama ameingiwa na huruma kwa kuona Wafanyakazi waliodhulumiwa Haki Yao wanarudishiwa....
Kwasababu Ile Miaka 7 iliyopita ilikua ni maumivu kwa wafanyakazi.. Kwamfano mtu aliyeajiriwa mwaka 2014 alipandishwa mwaka 2021!
Kwahiyo Ile Miaka 2015, 2016, 2017, 2018, 2019, 2020 iliyopita kwa dhuluma.... Mama anaifidia... Na Sasa mtumishi huyo atapata daraja analostahili kuanzia alipoanza kazi na hapa alipo,
Hongera mama.
Kwasababu Ile Miaka 7 iliyopita ilikua ni maumivu kwa wafanyakazi.. Kwamfano mtu aliyeajiriwa mwaka 2014 alipandishwa mwaka 2021!
Kwahiyo Ile Miaka 2015, 2016, 2017, 2018, 2019, 2020 iliyopita kwa dhuluma.... Mama anaifidia... Na Sasa mtumishi huyo atapata daraja analostahili kuanzia alipoanza kazi na hapa alipo,
Hongera mama.