Hongera NECTA kwa kuondoa kupanga shule zilizoongoza

bulabo

JF-Expert Member
Aug 20, 2015
620
759
Tunapongeza Serikali kwa hatua hii nzuri sana kwa sababu zifuatazo
  1. Inaondoa presha kwa wazazi na wanafunzi pia
  2. Inaondoa wimbi la wizi wa mitihani
  3. Inaondoa shule kupandisha ada kwa sababu ya ufaulu
  4. Hii hatua SERIKALI naipongeza sana wizi wa mitihani kwa udanganyifu utaisha
  5. Sasa watoto watapata elimu sahihi
 
Hata shuleni hakuna haja ya kuwa inaandaliwa orodha ya mwanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho kwenye mitihani ya shule na pia reports za mwisho wa muhula kutaja nafasi.

Sababu ni hiyo hiyo ya kushindanisha wanafunzi kutoka mazingira tofauti siyo ushindani sawia.

Wengine walidumaa toka utoto wao huku wengine mboga draft since day one.

Mitihani iwe kupima uwezo siyo kushindanisha.
 
Hata shuleni hakuna haja ya kuwa inaandaliwa orodha ya mwanafunzi wa kwanza hadi wa mwisho kwenye mitihani ya shule na pia reports za mwisho wa muhula kutaja nafasi.

Sababu ni hiyo hiyo ya kushindanisha wanafunzi kutoka mazingira tofauti siyo ushindani sawia.

Wengine walidumaa toka utoto wao huku wengine mboga draft since day one.

Mitihani iwe kupima uwezo siyo kushindanisha.
Shule ni issue ya ndani. Kitaifa haina maana
 
Upo sahihi kabisa. Huwezi kulinganisha Marian na Kezaulole Sec school mazingira tofauti sana
 
Tunapongeza Serikali kwa hatua hii nzuri sana kwa sababu zifuatazo
  1. Inaondoa presha kwa wazazi na wanafunzi pia
  2. Inaondoa wimbi la wizi wa mitihani
  3. Inaondoa shule kupandisha ada kwa sababu ya ufaulu
  4. Hii hatua SERIKALI naipongeza sana wizi wa mitihani kwa udanganyifu utaisha
  5. Sasa watoto watapata elimu sahihi
Too irrelevant
 
Back
Top Bottom