Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
bado huku kupo juuu no stress hivi mkuu hiyo android box unalipia kiasi gani kwa mwezi na inauzwa bei gani pia unapata mechi nyingi kiasi maana huyu sport 24 Hd ikitokea game zipo muda mmoja ni shida kidogo mfano ile ya man u na swansea hawakuonyesha bali wakaichukua ya liverpoolChezea Sport 24 HD na android box, watanyooka tu