Ngoja nami nizifute vumbi hizi decorder zangu za Dstv..maana hata dish lake nimebadilisha matumizi, ninategea FTA zingine. Bei zao ni za kinyonyaji hasa, yaani unalipia hela nyingi utafikiri unafanyia biashara? Muda wa kuangalia ni usiku tu afu nilipie kila mwezi? basi pamoja na bei zao wangefanya iwe ni kama luku, unalipia unapotumia.
Decoder ilinizinguaga nikawapigia wakaniambia niipeleke osterbay, wakanicharge dola 25, wasenge sana hawa dstv.
Azam tatizo haina quality na mapicha ya FTA yamejaa, ovyo tupu. Ngoja niirudie dstv pamoja na gharama zake.