Mmiliki wa kibaha secondary ni naniLa kujifunza ni je watoto hao ni wakaazi wa mkoa wa Pwani? Wamiliki wa shule ni wenyeji wa mkoa wa Pwani?
Mmiliki wa kibaha secondary ni nani
Post sent using JamiiForums mobile app
Kigezo ni mahali shule ilipo,sio wanafunzi au wamiliki wanapotoka.La kujifunza ni je watoto hao ni wakaazi wa mkoa wa Pwani? Wamiliki wa shule ni wenyeji wa mkoa wa Pwani?
Utaitajaje shule bila kuutaja mkoa ilipo hyo shule?acheni wivu ninyi.Hakuna cha kujifunza kutoka pwani, Kwani hata zingejengwa lindi matokeo yasingekuwa tofauti . Tujifunze kutokana na shule zenyewe siyo mkoa
Hakuna hapo watakuwa wa mikoa mingine na ngoma wamwachie nani?La kujifunza ni je watoto hao ni wakaazi wa mkoa wa Pwani? Wamiliki wa shule ni wenyeji wa mkoa wa Pwani?
Kigezo ni mahali shule ilipo,sio wanafunzi au wamiliki wanapotoka.
Post sent using JamiiForums mobile app