Hongera Mkoa wa Pwani kutoa shule 4 kati ya 10 bora Tanzania ..mtihani kidato cha sita 2017

past-graduation_01.jpg

Baadhi ya wahitimu
 
Pwani Sharaaa Mkoa Wangu Kibahaa Karibuni Good Pongezi Kwa Mkuu wa Mkoa Umempiku Mkoa Wa Bashitee Tupa Kule Sura ya (Kibiti) Sio Roho(Elimu) ya Mkoa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huwez kuta mkaazi wa pwan anasoma humo....

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Uhusiano Kat Ya Mkoa Na Shule Labda Kwa Znazomilikiwa Na Serikali Mf. Kibaha. Lkn Hzo Za ST.Flan Ni Mikakati Ya Wamiliki Kibiashara, So Hata Ingekua Ipo Nanjilinji Bado Wangefaulu2. Wengi Watoto Wa Wenyenazo Na Wanatoka Sehem Tofaut Tofauti, Lkn Co Mbaya Kushangilia Gor Maiya Wkt Ikisheza Na Evarton Ktk Uwanja Wa Taifa, Ni Swala La Uzalendo Tu.
 
Huwez kuta mkaazi wa pwan anasoma humo....

Post sent using JamiiForums mobile app
Yaani watoto wa kikwete kingunge marehemu ditopile kitwana kondo wajukuu wa sykes meck sadiki hawawezi kusoma? Au hamjui dar es laam nao no pwani?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sina uhakika huo.ila 4 bora ziko Pwani tunajifunza nini?!?
Kwani wewe unataka kujifunza nini hapo!

Naona umeng'ang'ana tunajifunza nini! tunajifunza nini!

Mafunzo unayotaka kuyapata nenda kagombee uongozi wa ccm kibiti.
 
Mbona povu jingi na sabuni haijulikani humu?
Hizo shule si za wakazi wa pwani ,zimeletwa na wageni wawekezaji, hawa jamaa mpaka sasa habari zao ni vigodoro na ujinga mwingine wa kimaskini ila mahala popote duniani maendeleo huletwa na wageni halafu wenyeji wakajifunza na kubadirika.
Kwahiyo tunawapongeza wawekezaji hao ambao ni dhahiri mikakati yao ni ya kimataifa na si inayofanana na wakazi waliowakuta hapo ndio maana wameleta chachu kama hiyo ya maendeleo.
Hongera kwao, na wawekezaji zaidi waje kuongeza nguvu hiyo , ili hatimaye watu wa pwani wajione kuwa nao wanastahili kubadirika na kuwa kama watu wa Arusha na Dar na sio kuishia kwenye bangi na vigodoro.
Kama hujui vijana wengi wazawa wa pwani ni bangi na vigodoro tu na wakijitahidi mwisho ni 4m4 ya failure, usitoe povu!
Lakini juhudi za watu fulani wenye maono zinaendelea kuzaa matunda taratibu, kwani avumae baharini ni papa lakini wengi wapo, zipo shule nyingine mbili tatu nao hawajaonekana hapo ila hongera zao sana , wako vizuri!
 
Mbona povu jingi na sabuni haijulikani humu?
Hizo shule si za wakazi wa pwani ,zimeletwa na wageni wawekezaji, hawa jamaa mpaka sasa habari zao ni vigodoro na ujinga mwingine wa kimaskini ila mahala popote duniani maendeleo huletwa na wageni halafu wenyeji wakajifunza na kubadirika.
Kwahiyo tunawapongeza wawekezaji hao ambao ni dhahiri mikakati yao ni ya kimataifa na si inayofanana na wakazi waliowakuta hapo ndio maana wameleta chachu kama hiyo ya maendeleo.
Hongera kwao, na wawekezaji zaidi waje kuongeza nguvu hiyo , ili hatimaye watu wa pwani wajione kuwa nao wanastahili kubadirika na kuwa kama watu wa Arusha na Dar na sio kuishia kwenye bangi na vigodoro.
Kama hujui vijana wengi wazawa wa pwani ni bangi na vigodoro tu na wakijitahidi mwisho ni 4m4 ya failure, usitoe povu!
Lakini juhudi za watu fulani wenye maono zinaendelea kuzaa matunda taratibu, kwani avumae baharini ni papa lakini wengi wapo, zipo shule nyingine mbili tatu nao hawajaonekana hapo ila hongera zao sana , wako vizuri!
Mie MTU wa pwani na degree yangu kibindoni, acha povu na chuki kijana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom