mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,265
- 44,772
Jamaa wana wivu na pwani yetu.kiboko yao KIBITI.kibaha moko
Post sent using JamiiForums mobile app
Jamaa wana wivu na pwani yetu.kiboko yao KIBITI.kibaha moko
Si ndo shule ilipo.mbona shule za dar zilipofanya vibaya.ulilaumiwa mkoa wa dar?Mkoa unapata credit kwa kufanya lipi sasa?
Kibaha Secondary inamilikiwa na Shirika la Elimu Kibaha ( shirika hilo linamiliki shule nyingine tatu, hospitali ya Rufaa Tumbi, vyuo viwili na mali nyinginezo kibao). Huyo unayempongeza shule hii haimhusu kwani haiko chini ya RAS.Mmiliki wa kibaha secondary ni nani
Post sent using JamiiForums mobile app
Acha wivu.najua pwani imejengwa na wageni kama dar.lakini tuupe sifa yake mkoa wa pwani.Hakuna hapo watakuwa wa mikoa mingine na ngoma wamwachie nani?
Post sent using JamiiForums mobile app
Yeye ndo alikuwa akiwafundisha hao wanafunzi?Vipi wangefeli ungemlaim yeye au waalimu?Hongera kwa shule 4 bora Katika 10 kwa kutoka Mkoa wa Pwani
Kuna jambo la kujifunza kutoka Pwani!
Dhamana ya elimu iko chini ya ofisi ya elimu ya Mkoa husika.Labda useme tuupongeze mkoa kwa kutoa maeneo ya kujenga hizo shule. Lakini kwenye suala la ufaulu pongezi ziende kwa shule husika maana mkoa haujachangia lolote kufanikisha ufaulu.
Na ndio maana hata hapo kibaha atakaepewa credit labda mkuu wa shule.
Sina wivu wowote bali tunawakumbusha mpende kusoma sio mikesha ya ngoma pelekeni watoto shule kunabndugu zenu hapa dar mtu anakisaloon chake badala afanye biashara kila siku shughuli maneluvitugani sijui sasa muoe huyo utaipata freshAcha wivu.najua pwani imejengwa na wageni kama dar.lakini tuupe sifa yake mkoa wa pwani.
Karibu bagamoyooo.
Post sent using JamiiForums mobile app
wakaribishe na kibiti kbs!Utaitajaje shule bila kuutaja mkoa ilipo hyo shule?acheni wivu ninyi.
KARIBU BAGAMOYOOOOOO.PWANII.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo tumsifie afisa elimu wa mkoa wa pwani? Hamna uhusiano hapo! Maarian schools hata zingekuwa tanga zingefanya vzr tu
AHMES inamilikiwa na nani maana ni mpya masikioni mwanguSina wivu wowote bali tunawakumbusha mpende kusoma sio mikesha ya ngoma pelekeni watoto shule kunabndugu zenu hapa dar mtu anakisaloon chake badala afanye biashara kila siku shughuli maneluvitugani sijui sasa muoe huyo utaipata fresh
Post sent using JamiiForums mobile app
AHMES inamilikiwa na nani maana ni mpya masikioni mwanguJamaa wana wivu na pwani yetu.kiboko yao KIBITI.
Post sent using JamiiForums mobile app
AHMES inamilikiwa na nani maana ni mpya masikioni mwanguMmiliki wa kibaha secondary ni nani
Post sent using JamiiForums mobile app