Licha ya kuwa namba 1 kwa viwanda Tanzania Mkoa wa Pwani ni kati ya Mikoa 10 masikini

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,726
Kwa mujibu wa taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa 2022 kutoka NBS, Mkoa wa Pwani ndio unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi Tanzania.

Lakini licha kuwa na viwanda vingi, Pwani ni kati ya Mikoa 10 maskini Tanzania, yaani yenye Pato dogo zaidi (top 10 Lowest Regional GDP). Haya ndio madhara ya viwanda vinavyolipa watu elfu 7 kwa siku.

Orodha ya Mikoa Maskini kwa Pato (Regional Growth Domestic Product 2022) ni kama ifuatavyo;

1. Katavi - 2.297
2. Simiyu - 3.076
3. Songwe - 3.087
4. Njombe - 3.093
5. Singida - 3.190
6. Lindi - 3.384
7. Pwani - 3.429
8. Rukwa - 3.588
9. Kagera - 4.352
10. Mtwara - 4.686

Credit NBS, Tanzania in Figures 2022

Screenshot_20230803-143650.jpg
Screenshot_20230803-142118.jpg


My Take
Hongera Mkoa wa Kigoma kwa kujikwamua kutoka mkiani.
 
Kwa mujibu wa taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa 2022 kutoka NBS, Mkoa wa Pwani ndio unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi Tanzania.

Lakini licha kuwa na viwanda vingi, Pwani ni kati ya Mikoa 10 maskini Tanzania, yaani yenye Pato dogo zaidi (top 10 Lowest Regional GDP). Haya ndio madhara ya viwanda vinavyolipa watu elfu 7 kwa siku.

Orodha ya Mikoa Maskini kwa Pato (Regional Growth Domestic Product 2022) ni kama ifuatavyo;

1. Katavi - 2.297
2. Simiyu - 3.076
3. Songwe - 3.087
4. Njombe - 3.093
5. Singida - 3.190
6. Lindi - 3.384
7. Pwani - 3.429
8. Rukwa - 3.588
9. Kagera - 4.352
10. Mtwara - 4.686

Credit NBS, Tanzania in Figures 2022

View attachment 2708002View attachment 2708004

My Take
Hongera Mkoa wa Kigoma kwa kujikwamua kutoka mkiani.
Mbona sijaona Zanzibar, Sema mikoa ya Nchi ya Tanganyika
 
Wakazi wengi wa pwani wako busy na uislamu kwasababu wameahidiwa wakifa watabadilika na kuwa waarabu.

Ndo maana Juma Nature Mndengereko na Masoud Kipanya Lindi wakikumbuka wakifa kwenye uislamu wanabadilika kuwa waarabu wanajituma kwenye uislamu kupitiliza kwa kuswali zaidi ya mara tano kwa siku.

Pia walijisugua na msasa na steel wire kupata sijdah ile alama kwenye paji la uso.

Myangu The Icebreaker Kikwajuni One
 
Wakazi wengi wa pwani wako busy na uislamu kwasababu wameahidiwa wakifa watabadilika na kuwa waarabu.

Ndo maana Juma Nature Mndengereko na Masoud Kipanya Lindi wakikumbuka wakifa kwenye uislamu wanabadilika kuwa waarabu wanajituma kwenye uislamu kupitiliza kwa kuswali zaidi ya mara tano kwa siku.

Pia walijisugua na msasa na steel wire kupata sijdah ile alama kwenye paji la uso.

Myangu The Icebreaker Kikwajuni One
Huu ni ubaguzi kwa kuzarau watu sababu ya dini ambazo zililetwa leo hii wazungu na waarabu wasingekuja africa pengine kama wachina
 
Mangi umefurahi...hata hizo data hujui jinsi ya kuzisoma.
Soma vizuri data alafu uzifafanue.
Wakazi wengi wa pwani wako busy na uislamu kwasababu wameahidiwa wakifa watabadilika na kuwa waarabu.

Ndo maana Juma Nature Mndengereko na Masoud Kipanya Lindi wakikumbuka wakifa kwenye uislamu wanabadilika kuwa waarabu wanajituma kwenye uislamu kupitiliza kwa kuswali zaidi ya mara tano kwa siku.

Pia walijisugua na msasa na steel wire kupata sijdah ile alama kwenye paji la uso.

Myangu The Icebreaker Kikwajuni One
 
Kwenye hadith eti Waislamu wakifa na kukamuliwa mavi lazima wapitie kwa mtume mudi. Mtume anachuchuma unaelekeza kichwa usawa wa tigo anadondosha kimba mdomoni.

Kabla ya kuingia peponi Allah atakutambua kwanza kama wewe ni muislamu kwa kunusa harufu ya mavi ya mudy mdomoni
Kisa mliachiwa mali za mkoloni na kumng'ang'ania wazee wako hawakutaka uhuru kabisa 😅😅.

Miaka 60 na kitu ya uhuru bado hamjui kusafisha meno..
Ndo maana matajiri ni nyir wagalatia hapa bongo pekee.
 
Na hili nalo liangaliwe, yaani kiwanda kinalipa buku 7 tu kwa siku ,na hawa wenzetu wa kagera sijui nini kimewasibu licha kuwa na maendeleo makubwa(uchumi,elimu) kwenye mikoa ya wengine, kwao wamepasahau
 
Kwa mujibu wa taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa 2022 kutoka NBS, Mkoa wa Pwani ndio unaongoza kwa kuwa na viwanda vingi Tanzania.

Lakini licha kuwa na viwanda vingi, Pwani ni kati ya Mikoa 10 maskini Tanzania, yaani yenye Pato dogo zaidi (top 10 Lowest Regional GDP). Haya ndio madhara ya viwanda vinavyolipa watu elfu 7 kwa siku.

Orodha ya Mikoa Maskini kwa Pato (Regional Growth Domestic Product 2022) ni kama ifuatavyo;

1. Katavi - 2.297
2. Simiyu - 3.076
3. Songwe - 3.087
4. Njombe - 3.093
5. Singida - 3.190
6. Lindi - 3.384
7. Pwani - 3.429
8. Rukwa - 3.588
9. Kagera - 4.352
10. Mtwara - 4.686

Credit NBS, Tanzania in Figures 2022

View attachment 2708002View attachment 2708004

My Take
Hongera Mkoa wa Kigoma kwa kujikwamua kutoka mkiani.
Viwanda vya pwani having uhusiano na aina ya uzalishaji mali wa wananchi wa pwani
 
Back
Top Bottom