mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,285
- 44,825
Kwa hiyo ulitaka wasemeje?Mkoa unapata credit kwa kufanya lipi sasa?
Serikali inakaa mkoa wa pwani?
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ulitaka wasemeje?Mkoa unapata credit kwa kufanya lipi sasa?
Serikali inakaa mkoa wa pwani?
Elewa basi ndugu....serikali ina shule ina zimiliki ziko chini ya usimamiz wake mfano ni kibaha boys.ruvu girls,zanaki,jangwani na etc serikali ina wajibika kuzisimamiaMkoa unapata credit kwa kufanya lipi sasa?
Serikali inakaa mkoa wa pwani?
Huo ufinyu kufikiria serikali ndo kila kitu nchi yote hii ina miliki takriban maeneo yote ndo maana pwani kuna mkuu wa wilaya ,mkuu wa kipolisi mkoa wa kuu wa vikosi vya jeshi wote wako kwa ajili ya kuwakilisha serikali kuuMkoa unapata credit kwa kufanya lipi sasa?
Serikali inakaa mkoa wa pwani?
Huo ufinyu kufikiria serikali ndo kila kitu nchi yote hii ina miliki takriban maeneo yote ndo maana pwani kuna mkuu wa wilaya ,mkuu wa kipolisi mkoa wa kuu wa vikosi vya jeshi wote wako kwa ajili ya kuwakilisha serikali kuu
Hongera kwa shule 4 bora Katika 10 kwa kutoka Mkoa wa Pwani
Kuna jambo la kujifunza kutoka Pwani!
Bhas hizo shule waziandike majina ya wenye shule.sio mahali ilipo.Pongezi ziende kwa wamiliki wa shule and not mkoa wa pwani
Hizo shule hazina uhusiano wa direct na mkoa wa pwani
Na wafanyakazi wote juu watatoka sehemu nyingine wao shule ni kama umande wa asubuhina kwa takwimu zilizopo Mkoa huu pia unajengwa viwanda vingi kwa sasa kuliko pengine popote sijui nini siri ya haya yote
Shule zilijengwa Pwani kwa kuwa kuna Ardhi bwerere ya wazaramo waliolala plus ndengerekos. Hivyo wenye akili wanawekeza huko kwa wasiojitambua. Sasa wazazi wa DSM wengi ndiyo wanapeleka Watoto Shule hizo. Hivyo Pwani kwa kwa hali halisi wanafunzi toka Pwani kitaaluma ni mikia. Sorry kwa ligha ngumu ila bora kuwapa ukweli bila kupepesa na kupindisha ukweli. Hivyo Mimi sitasifia Pwani ila nitasifia mikoa ambayo inaleta wanafunzi Shule hizo bora za Pwani. IgweeeeeeHongera kwa shule 4 bora Katika 10 kwa kutoka Mkoa wa Pwani
Kuna jambo la kujifunza kutoka Pwani!
Dhana tu hizo,huna data za hizo shule.tunaandika kwa hisia.Shule zilijengwa Pwani kwa kuwa kuna Ardhi bwerere ya wazaramo waliolala plus ndengerekos. Hivyo wenye akili wanawekeza huko kwa wasiojitambua. Sasa wazazi wa DSM wengi ndiyo wanapeleka Watoto Shule hizo. Hivyo Pwani kwa kwa hali halisi wanafunzi toka Pwani kitaaluma ni mikia. Sorry kwa ligha ngumu ila bora kuwapa ukweli bila kupepesa na kupindisha ukweli. Hivyo Mimi sitasifia Pwani ila nitasifia mikoa ambayo inaleta wanafunzi Shule hizo bora za Pwani. Igweeeeee