Hongera Kikwete; Hongera CCM kwa mpango huu

tobaaa, i didnt know that our trains run at 35KPH....mmmh ndio maana hapo mwanza tu ni karibu siku 3....sasa wanataka kuleta treni za 120KPH mmmmh huo ni mwendo kasi mkubwa sana. kama haya ya 35 KPH ajali kila siku wakileta hayo ya 120 KPH ndio 'kichinjio'...bora walete ya 70 KPH kama ya uhindini...

pole mi nimepanda sana, kama hujui toka mwanza train ilikuwa inatoka saa 12 jioni - inafika tabora alfajiri saa 11 hivi, inaondoka saa 2 inafika dodoma saa mbili usiku - morogoro saa mbili asubuhi - dar inaingia saa sita mchana. piga hesabu masaa magapi - na dar-mza ni 1200km tu appox.

hizo nakupa data - sisi tulizipanda sana kipindi cha collective tikets wakati tunasoma secondary ..... naona mzee umekulia magorofani.

kwenye point - kichekesho train itapita kwenye reli ipi - study inaonyesha tunajenga reli mpya?
 
Hawa jamaa wangekuwa na spidi kama ya kupost picha za JK akiwa na 'wanene' huko ugahibuni basi serikali ingekuwa mbali sana katika kutenda kazi zake za kila siku. Lakini cha kusikitisha ni kwamba serikali imekuwa kama PR group kuhakikisha JK anapambwa na kupambika. Kazi zote muhimu zinazoikabili jamii ziko kwenye fungu la 'Miscellaneous'.

Siku zinakuja mtaanza kusikia kashfa za fedha za 'kilimo kwanza'.

siku mkisikia Rufiji delta na bonde lote la mto rufiji limeuzwa au kukodishwa kwa sababu ya kutekeleza kilimo kwanza ndipo mtajua kuwa hii nji ina vioo-ngozi na kilimo kwanza ni nini?
 
this is why i LOVE my country TANZANIA we live by wishes, we build and demolish in our heads, very sweet plans, hapo kwenye feasibility study panafanywa sana kwani ni ulaji usiokuwa na jasho ni kausanii flani then makaratasi yanafungwa kamba wizarani yakisubiri awamu ingine ya uongozi!!
 
Grrrr...
There were this DART,then comes the so called 'flyovers'...And now we are told about these trains bla,bla,blah...Can someone remind me on the progress of ze daraja to Kigamboni??
Anyway TGIF.
 
Barabara ya Dar Mwanza ilijengwa toka mwaka1982 na hadi leo haijamalika...Kisha bila aibu zinakuja habari za Taini endayo kwa kasi! ama kweli Miafrika jamani tumeshindikana!
 
Hivi ile project ya mabasi ya kasi Dar imeishia wapi??
Nadhani bado wanaandaa mpango wa kutafuta uwezekano wa kupata mkakati wa kuunda tume itakayochunguza uwezekano wa kuanzisha mradi huo kwa ufanisi mkubwa. Kabla mpango kabambe wa kutafuta uwezekano wa kupata pesa za kuuanzisha.

Baada ya maandalizi hayo kukamilika, ndipo mchakato wa kisera utakapoanza ili kuunda tume huru itakayotafuta mawazo ya wananchi kuhusu utaratibu utakaofaa wa kusimamia mradi huo.


Na baada ya hilo kukamilika ndipo mpango mwingine na mwingine utakapoanza
 
Mipango ndio. Lakini wananchi tuwekee mkazo zaidi 'utekelezaji endelevu' na kuwajibisha wale wanaoshindwa kutekeleza!
 
mi nilivooona tu kwamba "he was reponding to question insie the parliament" basi nguvu ziaisha................ sasa mlitegemea kama hana cha kusema akae kimya wakati kishavuta poshe sita hadi wakati huo???????????? si angehojiwa na takukuru????
 
Dah! Kweli tumechoka, waziri angenyamaza tuu au a dedicate the rest of the yr kwenye kampeni zake! wabongo wa 2005 sio wa sasa wa 2010! Jamani umsimsahau yule aliyesema serikali imecollect 600million usd kutoka telecoms in the period 2007/2008. Tuwe makini jamani...mimi hizo figures na wasiwasi nazo saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!!
 
Waziri Kaombwe is dreaming bana. Miaka zaidi ya 40 ya uhuru, leo ndiyo very soon tuone hayo miujiza pleaseeeeee give us a break ndugu waziri.

Ipitishwe sheria kila waziri wa wizara fulani anapotoa majibu yake apewe limit ya muda au yeye atoe limit ni muda gani miaka 2, au 3 na tarehe na mwezi. Na siku ikifika hajafanya aliyoahidi achukuliwe hatua hata afungwe jela kwa kuwadanganya wananchi.
Mawaziri wasiwe wabunge na wabunge wasiwe mawaziri ili uwajibikaji na usimamizi wa dhati ufanyike kwa ufasaha.
 
TRL,ATCL,TAZARA, TANESCO,DART, blaa blaaa

Uzuri serekali hata siku moja haijawahi kukosa majibu mazuri, kimsingi nacho ona mipango binafsi ya watawala wetu ndo inakwenda sawia tu, kama kusomesha watoto ulaya, kuwa na nyumba nzuri, magari ya kifahari, kuandaa watoto wao ili waje kuwa watawala wa kesho, kuwa na hisa kwa makampuni ya Wahindi N.k, Cha msingi wangewarudishia Waingereza kama sio Wajerumani koloni lao naamini maendeleo yangepatikana tu hata kwa viboko

Hehehehee!!! Nakumbuka Nyerere aliwahi kuwachapa viboko wanafunzi wa mlimani waliposema bora utwala wa mkoloni kuliko utawala wake. Sasa unaposema waingereza warudishiwe koloni lao angalia usikamatwe na kuchapwa bakola.
 
Una haki kuto-comment. Hata hizo treni za 35 km/h hazipo!

nimeguswa sana mkuu na hii post. hizo z a35km/h hazina miundombinu yaani kwa kifupi hazipo (kawaulize wakazi wa kigoma) halafu 5 point ngapi bilioni for feazibilit stady, si wangekaranbati kwanza nadaraja hata mawili ili hizo za 35km/h zitembee?

jamani kama mabembea hayakung'olewa jamaika, tumekwisha!!!!!!!!!!!!!
 
SWALI: Hizo treni zitaletwa na hawa hawa TRL na RITES ambao hata hizo za 35KPH zimewashinda kuziendesha?
 
watatufanya mabwege hadi lini jamani? MBONA MIPANGO MINGI SANA BUT NO UTEKELEZAJI, tungeona hata dalili basi za ujenzi wa njia hizo mpya za reli.
 
Nadhani viongozi wa serikali wanajua sana maendeleo ya nchi nyingine kama China Marekani n.k. Na wanapoulizwa maswali, wanakumbuka maendeleo ya wenzao, na wao wanajibu kuwa wana mipango ya kufikia maendeleo hayo bila kuwa na action plan ya kufanikiwa kufikia lengo. Kauli nyingi zinazotolewa na viongozi ni za kisiasa zaidi ya ukweli. Wanajibu ili swali liwe limejibiwa, na kuepukana na adha ambayo wangeipata kama wangejibu ukweli. Siasi za bongo hizo.
 
Mi nasubiri mpaka hizo treni zianze kufanya kazi,maana Tanzania kwa mipango mizuri hatujambo...ngoma ipo kwenye utekelezaji...
 
Train ya mataluma inatushinda sembuse bullet train? Mara nyingi uwa sisomi ndoto za Alinacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom