Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,119
- 32,965
Wewe unajitambua?Huyo hajitambui
Wewe unajitambua?Huyo hajitambui
Acha kupiga mayowe.Umewadhalilisha sana wana ccm wenzako kwa post yako ya kuwatukana waathirika wa ukimwi
Yaani wewe kuwa mwathirika ni kuwatukana ccm, kweli?Umewatukana sana ccm
Mkuu pointi watu njaa .watauza chama tumeshudia wabunge waunga mkonoHuyu baba akiondoka kua mwenyekiti au katibu Mkuu, siasa za upizani ndo basi.....wengi wana njaa na pia nimasikini, hawana background ya kumiliki pesa watauza Chama
Waitara siku hizi ana walinzi toka kwenye kodi zetuMkuu pointi watu njaa .watauza chama tumeshudia wabunge waunga mkono
Kama alishaguliwa na wana-Ukonga kwa asilimia zaidi ya 70 kama inavyodai tume ya uchaguzi, ana hofu ya nini? Huyu Waitara ana tabu sana... Akifika 2020, hata kampeni atashindwa kufanya, kwa kuwa kila mtu (pamoja na jiwe) atakuwa anapambana na hali yake. Hatakuwa na wa kwenda kumshindisha tena kimababvu.Waitara siku hizi ana walinzi toka kwenye kodi zetu
Hata mwenyewe anajua kuwa 2020 ndiyo mwisho wake ndani ya ccm maana yeye ni mhamiaji haramu sasa kuna wazawaKama alishaguliwa na wana-Ukonga kwa asilimia zaidi ya 70 kama inavyodai tume ya uchaguzi, ana hofu ya nini? Huyu Waitara ana tabu sana... Akifika 2020, hata kampeni atashindwa kufanya, kwa kuwa kila mtu atakuwa anapambana na hali yake. Hatakuwa na wa kwenda kumshindisha tena kwa maabvu.
Apewe tu pole. Ipo siku atajuta kuwafahamu CCM.
Mimi sio takataka ya Lumumba.Kama wewe ulivyo msukule ndani ya ccm
Kuwashwa mzuti sio ugonjwa mzuri wahi ukatibiweHa ha ha haaaaaaaa
Anawapima nyie wenyewe kwenye chama lenu lililo futi 6 mnapojichimbia
Kataja CCM kufunika tu na pia bila kutaja hasingepata kiki.. fikirieni nje ya boksi sio mnakuwa wazuzu wake kila mara.. mko kama [emoji317][emoji317][emoji317]
Jipongeze kwa kuwa ZUZU maana hujaanzisha nyuzi muda murefuuuu eeeeeh
Jipige vibao ulie kabisa [emoji88]
Huyu lazima ni bwabwa wa kino au mkata viuno wa baikokoAshashindikana huyo anasubiria mapenzi ya mungu
Ni kama tunahitaji upinzani mpya. Huu wa wabunge na madiwani kununuliwa tumeuchoka. Kufikia 2020 watakuwa wameishaKama ndiyo hivyo tusameheane
kwani ww kama mwana CCM mbowe anakuathiri nini kwa kuendelea kuwa mwenyekiti?Mbowe Mjanja Sana
Kawafanya muamini bila ya Mbowe hakuna Chadema Na Hilo Kafanikiwa
Kapu la Mjanja Mjinga hatii mkono
Empty brain at work.Wakusema Mbowe ondoka wote walishatimuliwa chamani. Kumebakia misukule tu