MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
You should be concerned that your brother Daudi Albert Bashite anazidi kunenepa makalio tu!Ha ha ha haaaaaaaa
Anawapima nyie wenyewe kwenye chama lenu lililo futi 6 mnapojichimbia
Kataja CCM kufunika tu na pia bila kutaja hasingepata kiki.. fikirieni nje ya boksi sio mnakuwa wazuzu wake kila mara.. mko kama 👻👻👻
Jipongeze kwa kuwa ZUZU maana hujaanzisha nyuzi muda murefuuuu eeeeeh
Jipige vibao ulie kabisa 💀
kwa kweliSiku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chiniView attachment 907556
Kama ile mliyomnywesha nyoka mwenzenu mpaka akaanza kunyonyoka kama kuku wa mayai.Nyie tulieni nyumbu nyie sumu nzuri ni ile inayoua taratibu
Uongozi ni heshima sio utumwa, kutumikia watu ni heshima sio utumwa. Mao aliwahi kusema “A’s politician we have to give systematically to the people what we receive from them confusedly”. Tuwape wananchi kwa mpangilio tokana na yale tunayoyapokea toka kwao kwa mchanganyiko. Kiongozi akiona uongozi ni mzigo inaashiria amechoka apumzike.Uelewa wako ndiyo umekufanya kuongea haya
Siku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chiniView attachment 907556
You should be concerned that your brother Daudi Albert Bashite anazidi kunenepa makalio tu!
Haumfahamu mzee wa makonteina? Yule gaidi aliyevamia kituo cha television cha clouds!Unayemuongelea simfahamu
Na pia wewe ukiwa kama ME acha wivu kwa kuishia kuandika kama hayo.. juu ya mwanaume..
Siku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chiniView attachment 907556
Aweke mazingira (mechanism) ya kuambiwa. Watamwambia kwa njia gani? Kuhama kwa wabunge na baadae wakachaguliwa tena ni namna kubwa ya kuambiwa.Siku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chiniView attachment 907556
Haikuhusu maana wewe ulishapewa tarakaAweke mazingira (mechanism) ya kuambiwa. Watamwambia kwa njia gani? Kuhama kwa wabunge na baadae wakachaguliwa tena ni namna kubwa ya kuambiwa.
Madikteta hata wote hutoa kauli kama hii. Nimewekwa na wananchi wa nchi yangu na siku wakitaka niondoke nitaondoka ila namna watakavyosema hawapewi.
Mbowe aache usanii wa kucheza na maneno
Acha tu imwogope ila mpaka inafika 2020 mtakuwa mmeshalielewa somo vizuri, maana nyumbu huwa wagumu sana kujiongezaHivi sasa CCM wanamwogopa Mbowe kuliko wanavyoiogopa CDM. Sijui kwanini
Uko sahihi kabisa.... manyumbu hayana tofauti sana na nguruwe pori. Tofauti yao moja ni kuwa haya yanafuatana kwa pamoja wakati haya manguruwe mwitu yenyewe yanagugumia maumivu ya kutafunwa na Simba kimyakimya.Acha tu imwogope ila mpaka inafika 2020 mtakuwa mmeshalielewa somo vizuri, maana nyumbu huwa wagumu sana kujiongeza
Siku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chiniView attachment 907556
CCM hawatanyamaza kamwe kusema aachie uenyekiti, kwa hiyo anatutangazia kiaina kwamba yeye ni mwenyekiti wa maisha CHADEMA!Siku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chiniView attachment 907556