Hongera Freeman Mbowe kwa kauli ya kishujaa

Hongera Freeman Mbowe kwa kauli ya kishujaa

Ha ha ha haaaaaaaa

Anawapima nyie wenyewe kwenye chama lenu lililo futi 6 mnapojichimbia

Kataja CCM kufunika tu na pia bila kutaja hasingepata kiki.. fikirieni nje ya boksi sio mnakuwa wazuzu wake kila mara.. mko kama [emoji317][emoji317][emoji317]

Jipongeze kwa kuwa ZUZU maana hujaanzisha nyuzi muda murefuuuu eeeeeh

Jipige vibao ulie kabisa [emoji88]
SISITV[emoji102] [emoji12] [emoji13]
Skamuuuu bibii[emoji160]
 
Hivi sasa CCM wanamwogopa Mbowe kuliko wanavyoiogopa CDM. Sijui kwanini

Mbowe Mjanja Sana

Kawafanya muamini bila ya Mbowe hakuna Chadema Na Hilo Kafanikiwa

Kapu la Mjanja Mjinga hatii mkono
 
Kama mlivyo ibinafsisha sisiyem kwa mjanja
Mbowe Mjanja Sana

Kawafanya muamini bila ya Mbowe hakuna Chadema Na Hilo Kafanikiwa

Kapu la Mjanja Mjinga hatii mkono
 
Pana umuhimu wa kufanya tathmini ya kina kuhusiana na hii nafasi ya mwenyekiti ikienda vibaya kwakweli mwisho wa upinzani utakua umefika
 
Hata ccm ni mpinzani wa vyama vya upinzani
Pana umuhimu wa kufanya tathmini ya kina kuhusiana na hii nafasi ya mwenyekiti ikienda vibaya kwakweli mwisho wa upinzani utakua umefika
 
Ha ha ha haaaaaaaa

Anawapima nyie wenyewe kwenye chama lenu lililo futi 6 mnapojichimbia

Kataja CCM kufunika tu na pia bila kutaja hasingepata kiki.. fikirieni nje ya boksi sio mnakuwa wazuzu wake kila mara.. mko kama [emoji317][emoji317][emoji317]

Jipongeze kwa kuwa ZUZU maana hujaanzisha nyuzi muda murefuuuu eeeeeh

Jipige vibao ulie kabisa [emoji88]
Hivi MO bado hajapatikana???
 
Mbowe Mjanja Sana

Kawafanya muamini bila ya Mbowe hakuna Chadema Na Hilo Kafanikiwa

Kapu la Mjanja Mjinga hatii mkono
Na kama amefanikiwa kinawauma nini CCM? Si mumwache akiue chama chake nyie mtawale milele?
 
Na kama amefanikiwa kinawauma nini CCM? Si mumwache akiue chama chake nyie mtawale milele?
Muulize mkuu haoni hiyo ndiyo itaokoa kodi za watanzania maana watakuwa hawana tena biashara ya utumwa
 
Back
Top Bottom