Kitego cha MK wa chama cha upinzani ni kigumu sana, lakini kutunza DEMOCRACY , usawa, ushirikiano kwenye maamuzi, kutokuwa na siasa za ukanda na upendeleo, ufujaji wa pesa ndani ya chama unachokiongoza ni kosa kubwa.
Give DEMOCRACY AND FAIRNESS kwa wanachama na viongozi wenzako
Sasa hiyo demokrasia mnayotaka mtendewe na serikali ya sisiem ilhali huko sidiem (cdm) hamuitekelezi inakuwaje?Hutaki kajinyonge
Mtapiga porojo zote wana CCM lakini Mbowe ni chaguo letuNani sasa atakuambia..maana yoyote atakayejitokeza utakimbilia chako lako la siku zote kuwa msaliti..katumwa na ccm..
We endelea kupiga bwana..kodi ya pango, deni lisiloisha, madeni ya magari, kuwatweza utu wao wabunge wa kike..