Hongera Freeman Mbowe kwa kauli ya kishujaa

Hongera Freeman Mbowe kwa kauli ya kishujaa

Huo ndio ukweli, ccm ndio wanao hangaika na uwenyekiti wa mbowe na si wana chadema. Bora wana ccm mkae kimya hizo kelele zenu ndio zitawafanya chadema wamchague uwenyekiti hata miaka 100
 
Ha ha ha haaaaaaaa

Anawapima nyie wenyewe kwenye chama lenu lililo futi 6 mnapojichimbia

Kataja CCM kufunika tu na pia bila kutaja hasingepata kiki.. fikirieni nje ya boksi sio mnakuwa wazuzu wake kila mara.. mko kama 👻👻👻

Jipongeze kwa kuwa ZUZU maana hujaanzisha nyuzi muda murefuuuu eeeeeh

Jipige vibao ulie kabisa 💀
Hiki kiswahili ulichoandika humu ni makusudi au ni kutuonyesha kuwa kale kaelimu ulikokapata shule ya kata hakaswihi? Kwa mwandiko huu, haiyumkini unakatikiwa! Maliza hiyo shughuli urudie kuandika upya!
 
Ha ha ha haaaaaaaa

Anawapima nyie wenyewe kwenye chama lenu lililo futi 6 mnapojichimbia

Kataja CCM kufunika tu na pia bila kutaja hasingepata kiki.. fikirieni nje ya boksi sio mnakuwa wazuzu wake kila mara.. mko kama [emoji317][emoji317][emoji317]

Jipongeze kwa kuwa ZUZU maana hujaanzisha nyuzi muda murefuuuu eeeeeh

Jipige vibao ulie kabisa [emoji88]
½IQ
 
Huyu baba akiondoka kua mwenyekiti au katibu Mkuu, siasa za upizani ndo basi.....wengi wana njaa na pia nimasikini, hawana background ya kumiliki pesa watauza Chama
Kumbe ndivyo mlivyokuwa brainwashed?
 
Huyu baba akiondoka kua mwenyekiti au katibu Mkuu, siasa za upizani ndo basi.....wengi wana njaa na pia nimasikini, hawana background ya kumiliki pesa watauza Chama
Baba yake Mbowe ndiye mmoja wapo wafadhili wa Mwalimu kwenda kwa malkia kudai uhuru.
Vibaraka hata bustani ya mboga mboga hawana yaani watauza chama kwa kupewa ulinzi tuu wa polisi kama bwana yule
 
CHADEMA ni chama kilichofanikiwa kujipambanua kama chama chenye dira mbadala inayoweza kuwapeleka watanzania kwenye hatua inayofuata ya maendeleo baada ya "hang over" ya uhuru. CHADEMA kwa maana ya sera, ilipaswa kukamata nchi baada ya Benjamin Mkapa. CCM walifanya janja ya kijifanya wanabadilika kufuata upepo wa vyama vya upinzani badala ya kusimama kwenye mstari wao.

CCM imeendelea kutumika kama kichaka cha kupora haki za watanzania kujiamulia viongozi wanaowataka, kupata katiba wanayoitaka, na kupata sheria zinazowasaidia kupata maendeleo. Pamoja na ukandamizaji wa vyama vya upinzani pamoja na kuzuia kila kinachowapa wananchi fursa ya kuamua, CCM imeendelea kumomonyoka na kupotea kutoka kwenye mioyo ya watanzania. Ukweli halisi wanaujua kuwa hata 2015 hawakushinda urais.

CCM kipo katika hatua za mwisho kabisa za kifo. Ndio maana viongozi wake wame-panic. Wanatumia kila aina ya nguvu kuzuia njia zote za upinzani hasa CHADEMA kufanya siasa. Watazuia hata kulitaja jina la CHADEMA, lakini kadri wanavyozuia ndivyo wanazidi kukataliwa. MAJI HAYAZUILIKI KWA KUTUMIA MIKONO.

Hongera viongozi makini wa CHADEMA (Hasa Mhe. Freeman Mbowe) kwa kuvuka vizingiti vyote vinavyowekwa na viongozi wa CCM wakiongozwa na rais Magufuli. Ni imani yangu kuwa hata wana CCM wanaojitambua hawakubaliani na ushamba na upuuzi wa viongozi wao waliojikweza na kujipa mamlaka ya kugandamiza haki zao za kuweka viongozi waliowanunua kwa rushwa. Wanachamba wengi wa CCM wanapinga kuletewa viongozi MAKAHABA walionunuliwa kwa vipande vya fedha. Pia wanachama wengi wa CCM wanaojitambua wanapinga kwa siri na kwa uwazu kitendo cha hawa washamba kuvunja katiba na kuzuia njia zilizo za haki za kuupata uongozi ndani ya chama. Poleni sana wanaCCM kwa kupata viongozi washamba wa madaraka.

Mungu ailaze CCM mahali pema.
 
Asante sana
CHADEMA ni chama kilichofanikiwa kujipambanua kama chama chenye dira mbadala inayoweza kuwapeleka watanzania kwenye hatua inayofuata ya maendeleo baada ya "hang over" ya uhuru. CHADEMA kwa maana ya sera, ilipaswa kamate nchi baada ya Benjamin Mkapa. CCM walifanya janja ya kijifanya wanabadilika kufuata upepo wa vyama vya upinzani badala ya kusimama kwenye mstari wao.

CCM na imeendelea kutumika kama kichaka cha kupora haki ya watanzania kujiamulia viongozi wanaowataka. Pamoja na mapambano yote hayo CCM imeendekea kumomonyoka na kupotea kutoka kwenye mioyo ya watanzania. Ukweli halisi wanaujua kuwa hata 2015 hawakushinda urais.

CCM kipo katika hatua za mwisho kabisa za kifo, ndio maana viongozi wake wame-panic. Wanatumia kila aina ya nguvu kuzuia kil njia za upinzani hasa CHADEMA kufanya siasa. Watazuia hata kutaja jina la CHADEMA, lakini kadri wanavyozuia ndivyo wanazidi kukataliwa. MAJI HAYAZUILIKI.

Hongera viongozi makini wa CHADEMA kuvuka vizingiti vyote vinavyowekwa na viongozi wa CCM wakiongozwa na rais Magufuli. Ni imani yangu kuwa hata wana CCM wanaojitambua hawakubaliani na ushamba na upuuzi wa viongozi wao waliojikweza na kujipa mamlaka ya kugandamiza haki zao za kuweka viongozi wanaowataka. Wanachamba wengi wa CCM wanapinga kuletewa viongozi MAKAHABA walionunuliwa kwa vipande vya fedha, badala ya kupitia njia zilizo za haki za kuupata uongozi kwa kufuata katiba na taratibu waizozizoea.

Mungu ailaze CCM mahai pema.
 
Wajulishe hao kina kwangu pakavu tia mchuzi
Baba yake Mbowe ndiye mmoja wapo wafadhili wa Mwalimu kwenda kwa malkia kudai uhuru.
Vibaraka hata bustani ya mboga mboga hawana yaani watauza chama kwa kupewa ulinzi tuu wa polisi kama bwana yule
 
Back
Top Bottom