Hongera Freeman Mbowe kwa kauli ya kishujaa

Hongera Freeman Mbowe kwa kauli ya kishujaa

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,247
Siku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chini
FB_IMG_1540233651311.jpeg
 
Huyu baba akiondoka kua mwenyekiti au katibu Mkuu, siasa za upizani ndo basi.....wengi wana njaa na pia nimasikini, hawana background ya kumiliki pesa watauza Chama
Siku zote nitaendelea kumkubali mh Mbowe kwa uongozi wake na mapenzi yake ya dhati kwa watanzania ili hatimaye atukomboe,angalia maneno yake ya kishujaa hapo chiniView attachment 907556
 
Nani sasa atakuambia..maana yoyote atakayejitokeza utakimbilia chako lako la siku zote kuwa msaliti..katumwa na ccm..
We endelea kupiga bwana..kodi ya pango, deni lisiloisha, madeni ya magari, kuwatweza utu wao wabunge wa kike..
 
Ha ha ha haaaaaaaa

Anawapima nyie wenyewe kwenye chama lenu lililo futi 6 mnapojichimbia

Kataja CCM kufunika tu na pia bila kutaja hasingepata kiki.. fikirieni nje ya boksi sio mnakuwa wazuzu wake kila mara.. mko kama 👻👻👻

Jipongeze kwa kuwa ZUZU maana hujaanzisha nyuzi muda murefuuuu eeeeeh

Jipige vibao ulie kabisa 💀
 
Japo nmekosa siti ya mbele ila sio mbaya.
 
Huyu baba akiondoka kua mwenyekiti au katibu Mkuu, siasa za upizani ndo basi.....wengi wana njaa na pia nimasikini, hawana background ya kumiliki pesa watauza Chama
unaona mbali sana kaka watu wandhani chadema imekuja kuja tu hawajui kuna watu walitumia fedha tena nyingi kufanikisha chama kina kua imara,hivi ndio tuseme unapata uenyekiti mtu anayefanana na lipumba si kila siku atakwenda kuchukua mlungula kutoka CCM.
ndio maana nchi kama USA hawampi uongozi mtu masikini madhara yake ndio hayo!.CCM pamoja na wananchi wengine wenye akili finyu wanadhani mbowe kajimilkisha chama wanasau Kwamba chama kikiwa kichanga ni rahisi kuhujujumiwa hasa kikikosa kiongpzi imara.nyerere mwenyewe kipindi chama kinaanza amekaa madarakani miaka na miaka akiwa mwenyekiti
 
Back
Top Bottom