Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani

Tatizo unajifanya mjuaji na mwenye pesa kumbe wa kuja tu, wajuaji wote wamefunga vinu kwenye magari yao ila nyumbani wameweka redio unazo ziponda ww apo.

Soundbar zipo nzuri nyingi, mfno, JBL 9.1 channel, SONY HT-A7000, SONY HT-A9.
Acha watu wanunue vitu wanavyo vipenda kwa uwezo wao sio kwamba wanafata mkumbo.
Nyie ndio ninaowazungumzia... Wafuata mkumbo...
Unanunua soundbars/homethearter na unatarajia kupata Mziki wa maana.

Sony HT-A9, JBL 5.1 na 9.1, Samsung Q950A na Q990B (na nyingine nyiiiiingi) zimetengenezwa MAHUSUSI kwa ajili Movies sio kwa ajili ya Music.

Japo zinaweza kupiga "mziki mzuri" but they are not the best at that... hazitakupa Ule Mziki Halisi(hapa unaweza kubisha pia)

Zipo system kwa ajili ya mziki halisi, sio hizo soundbars au homethearter.

Mziki wa ukweli unapatikana katika 2 channel system a.k.a Stereo System a.k.a Hifi System, PERIOD.
 
Mimi sio mjuaji sana ila Mimi natumia Hifi ya Kenwood baada ya Pioneer kuchoma fan yake fundi niliompa atengeneze akaiaribu kabisa system nzima ya Amplifieryake...subwoofer ni nzuri ndio ...ila..ila hazina ile pure music taste japo wengi we don't care tunapenda zile boom boom za bass basi ila kingine hazidumu...zinaharibika sana. Home theater hii ni ya movie...soundbar haka ni kauongo tu kakufanya kampuni ziuzee maana sioni cha tofauti kwani wamecombine tu speaker za hi, na low kwenye compartment moja na kutenga bass so depending na specs zake inaweza act as mbadala wa home theater (virtual) au mbadala wa Hi-Fi...
Mkuu naomba model ya hii kenwood yako na mahali zinakopatikana boss nijaribu music wa Hi-Fi
 
Nyie ndio ninaowazungumzia... Wafuata mkumbo...
Unanunua soundbars/homethearter na unatarajia kupata Mziki wa maana.

Sony HT-A9, JBL 5.1 na 9.1, Samsung Q950A na Q990B (na nyingine nyiiiiingi) zimetengenezwa MAHUSUSI kwa ajili Movies sio kwa ajili ya Music.

Japo zinaweza kupiga "mziki mzuri" but they are not the best at that... hazitakupa Ule Mziki Halisi(hapa unaweza kubisha pia)

Zipo system kwa ajili ya mziki halisi, sio hizo soundbars au homethearter.

Mziki wa ukweli unapatikana katika 2 channel system a.k.a Stereo System a.k.a Hifi System, PERIOD.
Chief tusaidie Hi-Fi tofauti tofauti zinarange kwenye 900k mpk 1.5M tujaribu kitu kipya
 
Nyie ndio ninaowazungumzia... Wafuata mkumbo...
Unanunua soundbars/homethearter na unatarajia kupata Mziki wa maana.

Sony HT-A9, JBL 5.1 na 9.1, Samsung Q950A na Q990B (na nyingine nyiiiiingi) zimetengenezwa MAHUSUSI kwa ajili Movies sio kwa ajili ya Music.

Japo zinaweza kupiga "mziki mzuri" but they are not the best at that... hazitakupa Ule Mziki Halisi(hapa unaweza kubisha pia)

Zipo system kwa ajili ya mziki halisi, sio hizo soundbars au homethearter.

Mziki wa ukweli unapatikana katika 2 channel system a.k.a Stereo System a.k.a Hifi System, PERIOD.
Mbona Magari na simu watu wananunua aina moja hamsemi wanafata mkumbo na fashion, usifikirie hata hizo HI -FI watu hawanunui watanunua sana tu zikiwepo madukani.

Harafu wenye hela huwa hawasemi watu wanafata mkumbo, hii ni misemo ya watoto wa chuo wanao tumia boom.
 
S
Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani. kwa wale ambao tunapenda music..... je kati ya hivi vitu ni kipi ni bora ? tuweze saidiana kama mtu anataka kununua music system ninunue kipi katika ya hivyo.
Sijajua sub-woofer inaangukia katika category gani ila nazo ni nzuri kwa ambae anahitaji kusikiliza muziki kwa matumizi ya kawaida yasiyo ya kitaalamu

Uzoefu kidogo nilionao ni kwenye home theater ni nzuri sababu ina mdundo mzuri na sauti clear, nunua hasa Sony ipo vizuri na inadumu
 
HTiB yangu ya kwanza kununua 2007, mpaka leo ipo na inapiga vizuri.
1206sonydx255.jpg
Ina bei gani kwa sasa
 
Back
Top Bottom