UndercoverTrader255
Member
- Jul 8, 2021
- 88
- 166
Habari wana jamii forum
Kuna tofauti gani hasa kati ya SOUND BAR na SUBWOOFER kweny swala la kuangalia MOVIE, kusikiliza MUSIC au kucheza GAME.
Maana nahitaji sound bar ila najiuliza kipi spesho inacho hadi kuwa na bei kubwa na kuhusu mkito wake ukoje.
Chakwanza nilichoipenda ni kuhusu wireless unaiunga tu na tv je vitu vingine ni vipi?
Kuna tofauti gani hasa kati ya SOUND BAR na SUBWOOFER kweny swala la kuangalia MOVIE, kusikiliza MUSIC au kucheza GAME.
Maana nahitaji sound bar ila najiuliza kipi spesho inacho hadi kuwa na bei kubwa na kuhusu mkito wake ukoje.
Chakwanza nilichoipenda ni kuhusu wireless unaiunga tu na tv je vitu vingine ni vipi?