Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,078
- 5,919
Watanzania wachache sana wanamudu kununua HiFi tena zile za Sony, Samsung, Lg, Panasonic, Hisense. Huko Duniani hifi sytem moja ni Bajeti ya FORD RANGER tena 0Km, Sasa nani yupo tayari kuweka ford ranger sebuleni?Ndo maanisha ivyo soundbar kwa tv na movie kwa ujumla
Mnyama kama huyo chini unamweka category moja na soundbar kweli????? Ni 161million TZS imelala hapo.