Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 86
- Thread starter
- #81
Cupcake nakulaumu wewe kwa kunichosha jana....
Na mimi nakulaumu kwa kuniumiza shonga...ooh well lakini ulienjoy hahaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cupcake nakulaumu wewe kwa kunichosha jana....
Na mimi nakulaumu kwa kuniumiza shonga...ooh well lakini ulienjoy hahaha!
Heheheheheee...blame game.....Cupcake uko mtamu kushinda hata zabibu ya Mwanakijiji
hahahhaa omg cupcake...i can't believe you did say that loud!....
Na mimi labda nakujua au tunajuana.....
Unamkumbuka Mwalimu Mjema na Ndomondo?
Cupcake nenda kule kwenye Jukwaa la lugha uone shairi langu...liko kwenye mada ya Zabibu aliyoanzisha Mwanakijiji
Nadhani utakuwa umesoma wakati ule ambapo mwl wa maths alikuwa jamaa mmoja anaitwa Kevin, au sio?
Mkusa actual yupo Namibia...i do get intouch with him!...he was a cool teacher mademu walikuwa wanamtolea amcho hahaah btw he is my uncle so nilikuwa anona mambo kishenzi....ulikuwa floor ipi?...
Umeandika shairi?...hahahaha!...ok let me go and check out your creativity cupcake.
Okay kumbe!.Lazima alikuwa anaona soo na hivi niece wake yupo same institution. Nidhamu ya uoga muhimu.
Nilikuwa floor ya 3. Ile lifti ilivyoharibika kitambo kile mpaka sasa haijatengenezwa. Wewe kama ulikaa block D utakuwa ulikuwa 1-3 floors!Nimeotea tu
Ummmm...nope...walimu wa hisabati niwakumbukao mimi ni Mjema na Ndomondo..
Huyo Kevin simkumbuki....
No mimi sikukaa campus nilikuwa narudi home ila nilikuw amuda mwingi na shinda nyumbani kwa uncle juu kule....eeh nilikuwa napata raha sana mademu walikuwa wanajigonga kwangu kisa uncle..lakini my uncle was handsome aliwachanganya akili sana mademu hahahaha!....
aaha ile lift mwenzangu ilivyoharibika kupanda zile ngazi hadi kule juu summit nilikuwa anchoka sometimes nilikuwa hata sioni sababu ya kwenda kule juu...unapanda ngazi then una hema kama mbwa...
Masela mnanichanganya ujue,mara nyama choma mara kizota,mara gulio!! Point ni ipi jamani?
Masela mnanichanganya ujue,mara nyama choma mara kizota,mara gulio!! Point ni ipi jamani?
Masela mnanichanganya ujue,mara nyama choma mara kizota,mara gulio!! Point ni ipi jamani?
Si unajua na sisi ladies kumpenda uncle hadi wewe ukawa unapendwa au wanakuwa friends wawe karibu nae. Bora huyo uncle wako aliondoka,angewachanganya akili wengi zaidi ya hao.
Kumbe ulikuwa home-chuoni,mimi ilinishinda maana first year nilipoanza tu ilikuwa hivyo ila 2nd semester ya first year ikabidi nifanye mchongo wa chumba. Siyo kama ukiwa chuoni unasoma kivile ila angalau mambo ya usafiri na vipindi vya asubuhi unawahi.
Summit kupanda tabu bado sometimes uibiwe viwalo vyako ukienda kuanika,nikaona mmh! kufua ni nyumbani tu maana hasara.
Kwanini hukubaki kufundisha lakini Kelly?!