Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
- Thread starter
- #121
Ehhee! Shughuli imepata mchezaji!
Tena kwa kutumia ngoma ya mchiriku/gombe sugu...hahaha nilikuwa naona mchiriku au mdundiko ukipita watu walivyokuwa wanaufuatiliya wee kasheshe na ansikia zile ngoma watoto walikuwa wanapotea sana...