Home sweet home

Ehhee! Shughuli imepata mchezaji!

Tena kwa kutumia ngoma ya mchiriku/gombe sugu...hahaha nilikuwa naona mchiriku au mdundiko ukipita watu walivyokuwa wanaufuatiliya wee kasheshe na ansikia zile ngoma watoto walikuwa wanapotea sana...
 
Goal 2009 nambieni msaada wenu........I am looking for Nice and Pretty girl namaanisha mzuri kweli kweli kila nikimuangalia nizidi kumtamani......
awe mrefu 5ft 6in cuz na mie mrefu sitaki awe andunje

......asiwe msomi saaana....asizidi degree moja(najua wanawake wasomi wana matatizo/wabishi ndani ya nyumba)......na prefer awe na diploma au degree moja.....isiwe degree za kigangwe kama MD,uinjinia,IT/comp,law,business najua wasichana warembo hawasomi madegree haya magumu magumu na hata kama alikuwa mrembo through ku kremu uzuri wake utapungua......nataka awe kasoma degree laini laini kama sociology,cookery,designs za nguo sio mitambo,lingustic,.....

......ajue kunyuka pamba.....sitaki mvaaji wa baibui nguo za vitenge

....awe anaringa mwenye mapozi na aibu mwenye sauti nyembamba na kila nikiongea nae aangalie pembeni au chini....sio awe mkakamavu naongea nae kanitumbulia macho bila uwoga....asiwe na manguvu meengi kama ya serena.....awe laini laini tu.......asiwe jasiri sio mwanamke anaona nyoka hata hakimbiii nataka hata akiwa anaangalia movie za kutisha ananirukia kwa kuogopa......

.......asiwe kibonge na kitambi.....i hate big momas as you know...nataka awe kipotabo kiuno chembamba,wezere liwepo but sio la kutisha liwe la wastani.......

.......asiwe mweusi saana awe na rangi kama ya Nailah Thorbourne

...awe na uso mwembamba,sitaki awe mvaa mawigi na awe na nywele ndefu kasuka zig zag.....

....asijue kila kitu....afahamu mambo yatakayo ni-intertain mie...sio ajue siasa sijui uchumi na mazaga zaga mengine ya kuumiza kichwa...huyo sio type yangu

.....ajue kupika

.......Nataka pia awe clubin girl ili tuweze kuendana na ajue kucheza ruggamufin ........asipende taarabu sipendi mipasho ya kusutana sutana.......

........sitaki mvuta fegi wala mnywa pombe au kicheche....

Hizo ni baadhi ya sifa za nimtakae....imeandikwa aombae atapewa...nami ninaomba......najua type za galz nijnaowataka hawaji JF kama unamjua ndugu yako,classmate wako au hata ur neighbour just hook me up.I'll appreciate any assistance.

Nakushauri hii uifungulie thread yake maalum ili wakusaidie hata wale walio nje ya thread hii. After all, heading ya thread hii ipo tofauti na matakwa yako. Ukibuni heading nzuri, nategemea utapata majibu lukuki.
 
Point!...

I think itakuwa good idea akiambatanisha picha yake na discription pia like and dislikes..
Umesahau kujielezea wewe ukoje?? Anyway Good luck


kwa sababu za privacy siwezi kuweka picha yangu JF tukubaliane kwa hilo.....pilidescption zangu niko wazi kuziweka kwa atakaejitokeza kwa PM lakini.....ukiangalia kwa makini u can jua descption zangu...
 
Nakushauri hii uifungulie thread yake maalum ili wakusaidie hata wale walio nje ya thread hii. After all, heading ya thread hii ipo tofauti na matakwa yako. Ukibuni heading nzuri, nategemea utapata majibu lukuki.
vipi vigezo unavyo?
 
kwa sababu za privacy siwezi kuweka picha yangu JF tukubaliane kwa hilo.....pilidescption zangu niko wazi kuziweka kwa atakaejitokeza kwa PM lakini.....ukiangalia kwa makini u can jua descption zangu...

sasa mtu ambaye hajawahi kuingia jf itakuwa ngumu kwa yeye kujua description zako na pia hataweza kukuandikai PM since siyo memba wa jf..nakwambia hivyo kwa sababu kuna watu wanasoma tuu jf lakini siyo members...watakupataje?
 
Ubovu wenye hii sio boxing na wengine hatuzimii michezo yenu ya ki-gladiator, hivi mtu gani alostaarabika bado anafagilia huo mchezo!?

Ok...upande mwingine ni kuwa kama unaona nimekosea, basi niripoti kwa Mods wanichukulie hatua......

kuna watu wanahasira humu,hii sense of humour,for which JF members are reknowned for imekwenda wapi?
 
Asie na sense of humor ni wewe hapo unaendandia maneno usoyajua.....ni tabia za jikoni wakati wanaonja chumvi!

Usiku mwema na usikasirike!! LOL.

holla!!!! zimekuwa tabia za jikoni sasa,it seems kwenye hizi PC tuna paper tigers or keyboard generals ready to spit venom at everyturn
 
Nakushauri hii uifungulie thread yake maalum ili wakusaidie hata wale walio nje ya thread hii. After all, heading ya thread hii ipo tofauti na matakwa yako. Ukibuni heading nzuri, nategemea utapata majibu lukuki.

Yo Yo anahitaji mke tailor made kama ulivyokuwa quoted hapa. Kumbuka hakuna aliyekamilika.

Unaonyesha bado ni kijana mdogo sana, hujawa mature enough kuoa.

Tulia, subiri akili yako ikomae ndipo utakapogundua kuwa hakuna mke wa sifa na vigezo vyote unayotaka, asiye na hili ana lile.

Wenye busara wanaongea maneno namna hii. Kudos Shapu.

Mkuu,
In that and other marriage issues, there are two things to decide, na vyote haviendi pamoja. You can decide to be HAPPY and forego being RIGHT. If you want to be RIGHT (kifanyike unachotaka) then forget being HAPPY. If you decide to be HAPPY (enjoy your familly) then forget about being RIGHT. yaani forget about what you want it to be.

I think that works in most cases. Me i would choose to be HAPPY and enjoy my Beer!
 
Yo Yo anahitaji mke tailor made kama ulivyokuwa quoted hapa. Kumbuka hakuna aliyekamilika.

Unaonyesha bado ni kijana mdogo sana, hujawa mature enough kuoa.

Tulia, subiri akili yako ikomae ndipo utakapogundua kuwa hakuna mke wa sifa na vigezo vyote unayotaka, asiye na hili ana lile.
mkuu muulize huyo alie quoate katoa wapi maandishi yangu....?
Unaonyesha bado ni kijana mdogo sana, hujawa mature enough kuoa.

Tulia, subiri akili yako ikomae ndipo utakapogundua kuwa hakuna mke wa sifa na vigezo vyote unayotaka, asiye na hili ana lile.
Nipe mkeo ndio utajua iam immature au nina akili za kitoto.....
 
Oya Kelly wewe umetoka lini Forodhani? Mimi nimetoka 1993, umenikumbusha mbali sana mkuu though mimi nilikuwa sili chipsi. Nilikuwa nala wali maharage na ndizi mzee ulikuwa mtamu sana infact nikingia mchana nilikuwa sili tena home jioni kwa shibe ya Forodhani. This isnt a joke watu wengi walikuwa wanakonda sana wakati wa likizo, probably I'm one of them.
 
Mzunguko......tuliopita madrasa ndio tunaweza......nyama ipo upande gani.......

attachment.php
 

Attachments

  • pilau.jpg
    pilau.jpg
    62.4 KB · Views: 90
Karibuni Home Bongo
Hebu washawishi walioko majuu wafikirie kurudi bongo.......vitu gani vinavutia? biashara ya kuwaambia warudi koma kabisa......home kitu gani waache wale raha majuu....kwanza wakija wataongeza competition.....
 
Back
Top Bottom